Rais Ruto adai Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakubaliana kumuunga mkono Odinga kuwa Mwenyekiti wa AU

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
KENYA: Rais William Ruto amependekeza Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani na Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga anayewania nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC).

Akihutubia kikao cha EALA, Rais Ruto amesema Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekubaliana kuwa Ukanda huu utatoa Mgombea mmoja kwaajili ya Uchaguzi utakaofanyika Januari 2025.

Odinga aliyeonesha nia ya kutaka Uenyekiti wa AUC amesema ana imani ya kushinda nafasi hiyo akidai hadi sasa Marais 7 kutoka Afrika wameonesha kumuunga mkono.

=======

President William Ruto has called on the members of the East African Legislative Assembly, to fully back the candidature of Kenya's Former Prime Minister Raila Odinga, for the African Union Commission chairperson seat.

While addressing the special sitting of EALA in parliament, President Ruto affirmed that East Africa's heads of state summit, have endorsed that the region produces one candidate for the January 2025 AUelections.

“It is time for East Africa to head the Africa Union...it is good for our region and we have agreed as heads of state that we front only one candidate to the seat,” Ruto said.

The Azimio la Umoja coalition leader who joined in the race for the African Union Commission (AUC) chairperson position last month, has since expressed confidence in clinching the seat, saying that so far, 7 African presidents have backed his candidacy.

Following the announcement of his AUC bid, the Opposition leader has garnered support from across the political divide with leaders from the Kenya Kwanza regime, which has long been at loggerheads with the ODM leader pledging their support.

CITIZEN DIGITAL
1709662553366.png
 
Odinga kaishawekwa kibindoni, 2027 Rutto atakomba kura zote za Luo nyanza, Rutto ni political master mind, Doyen. Hatma ya Career ya kisiasa ya ndugu Kalonzo musyoka na Martha karua iko mikononi mwa Ndugu Rutto.
 
Hv amesikika akisema anagombea au taarifa hz zimetoka wapi?!!!!
Nadhani amewatuma chawa wake wapime upepo! Ndio maana alijichomeka kwenye delegation iliyokwenda kwenye mazishi Namibia ili apate wasaa wa kuonana na viongozi wa Sadc!!
 
KENYA: Rais William Ruto amependekeza Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani na Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga anayewania nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC).

Akihutubia kikao cha EALA, Rais Ruto amesema Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekubaliana kuwa Ukanda huu utatoa Mgombea mmoja kwaajili ya Uchaguzi utakaofanyika Januari 2025.

Odinga aliyeonesha nia ya kutaka Uenyekiti wa AUC amesema ana imani ya kushinda nafasi hiyo akidai hadi sasa Marais 7 kutoka Afrika wameonesha kumuunga mkono.
Msemaji wa Msoga naye ajitokeze tumsikie
 
KENYA: Rais William Ruto amependekeza Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani na Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga anayewania nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC).

Akihutubia kikao cha EALA, Rais Ruto amesema Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekubaliana kuwa Ukanda huu utatoa Mgombea mmoja kwaajili ya Uchaguzi utakaofanyika Januari 2025.

Odinga aliyeonesha nia ya kutaka Uenyekiti wa AUC amesema ana imani ya kushinda nafasi hiyo akidai hadi sasa Marais 7 kutoka Afrika wameonesha kumuunga mkono.

=======

President William Ruto has called on the members of the East African Legislative Assembly, to fully back the candidature of Kenya's Former Prime Minister Raila Odinga, for the African Union Commission chairperson seat.

While addressing the special sitting of EALA in parliament, President Ruto affirmed that East Africa's heads of state summit, have endorsed that the region produces one candidate for the January 2025 AUelections.

“It is time for East Africa to head the Africa Union...it is good for our region and we have agreed as heads of state that we front only one candidate to the seat,” Ruto said.

The Azimio la Umoja coalition leader who joined in the race for the African Union Commission (AUC) chairperson position last month, has since expressed confidence in clinching the seat, saying that so far, 7 African presidents have backed his candidacy.

Following the announcement of his AUC bid, the Opposition leader has garnered support from across the political divide with leaders from the Kenya Kwanza regime, which has long been at loggerheads with the ODM leader pledging their support.

CITIZEN DIGITALView attachment 2925567
JK out🤣
 
KENYA: Rais William Ruto amependekeza Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani na Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga anayewania nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC).

Akihutubia kikao cha EALA, Rais Ruto amesema Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekubaliana kuwa Ukanda huu utatoa Mgombea mmoja kwaajili ya Uchaguzi utakaofanyika Januari 2025.

Odinga aliyeonesha nia ya kutaka Uenyekiti wa AUC amesema ana imani ya kushinda nafasi hiyo akidai hadi sasa Marais 7 kutoka Afrika wameonesha kumuunga mkono.

=======

President William Ruto has called on the members of the East African Legislative Assembly, to fully back the candidature of Kenya's Former Prime Minister Raila Odinga, for the African Union Commission chairperson seat.

While addressing the special sitting of EALA in parliament, President Ruto affirmed that East Africa's heads of state summit, have endorsed that the region produces one candidate for the January 2025 AUelections.

“It is time for East Africa to head the Africa Union...it is good for our region and we have agreed as heads of state that we front only one candidate to the seat,” Ruto said.

The Azimio la Umoja coalition leader who joined in the race for the African Union Commission (AUC) chairperson position last month, has since expressed confidence in clinching the seat, saying that so far, 7 African presidents have backed his candidacy.

Following the announcement of his AUC bid, the Opposition leader has garnered support from across the political divide with leaders from the Kenya Kwanza regime, which has long been at loggerheads with the ODM leader pledging their support.

CITIZEN DIGITALView attachment 2925567

Odinga awache siasa tena , akapumzike kijijini , hizi tamaa za uongozi hazina tija kwake
 
Odinga kaishawekwa kibindoni, 2027 Rutto atakomba kura zote za Luo nyanza, Rutto ni political master mind, Doyen. Hatma ya Career ya kisiasa ya ndugu Kalonzo musyoka na Martha karua iko mikononi mwa Ndugu Rutto.
Wakenya hawana siasa za visasi, na kupinga kila jambo, wakiongea huelewana. Wapinzani wa Tanzania hasa chadema wamejaa chuki, fitna na jazba za kipumbavu.
 
Mwakani JK ana jambo letu nyumban

hatumtoi hata kwa mkopo, labda kuanzia 2026


JK apumzike , yaani family yote imeingia kwenye siasa kwa tamaa ya Fisi ?? Yaani kwa mishahara hii hapumziki ??

• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir

Kwa mujibu wa The Political Service Retirement Benefits Act [CAP. 225] kila mwezi hawa watalipwa 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.

Kama Rais aliyepo madarakani anapokea TZS 50,000,000 kwa mwezi, mwenza wa Rais atalipwa malipo/mafao ya TZS 30,000,000 kila mwezi.

Rais akistaafu, mwenza/wenza wake atapokea/watapokea (kwa mkupuo) 25% ya mshahara wa Rais alioupokea wakati wote akiwa madarakani.

Mfano, kama Rais alikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 10, akalipwa TZS 4,000,000,000, mwenza wake atalipwa TZS 1,000,000,000 kwa mkupuo.

Pamoja na malipo hayo ya fedha, pia wenza hawa sita (6) wa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watapata mafao mengine kama ilivyoelekezwa;

1. Nyumba ambayo Rais alipewa na alikuwa akiitumia kama makazi baada ya kustaafu itakuwa mali yake halali baada ya mume/mke wake (Rais) kufariki.

2. Atapokea posho ya matengenezo ya kila mwezi katika maisha yake yote akiwa hai kiasi ambacho ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani.

3. Mke/mume wa Rais atatibiwa ndani na nje ya Tanzania, na matibabu yake yatagharamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mjane wa Rais mstaafu atapata huduma ya magari mawili, na dereva wawili kufanya shughuli zake za kila siku. Serikali inalipia gharama za mafuta.

5. Magari anayopewa mjane wa Rais yatabadilishwa baada ya miaka 5. Kuna maintenance allowance. 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani kila mwezi

6. Malipo ya fedha kulipa mishahara kwa kiwango cha kima cha chini cha mishahara ya watumishi kwa; dereva, mpishi, mfua nguo na mtunza bustani

7. Mke/mume wa Rais atapata huduma ya usafiri kwa gharama za serikali hadi mahali pa kuishi kwa maisha yake yote hadi pale ambapo kifo kitawatenganisha.

8. Mke/mume na watoto wanapata ulinzi kutoka Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kutokana na mabadiliko yaliyofanywa katika Sheria ya Usalama wa Taifa.

9. Gharama za mazishi ya mke/mume wa Rais yatakuwa chini ya serikali. Serikali ya Tanzania itagharamia kwa 100% msiba wa mwenza wa Rais

10. Mjane wa Makamu wa Rais, anapata stahiki kama za mjane wa Rais isipokuwa tofauti yake ni moja, atapata gari moja la Serikali na dereva mmoja.

Martin Maranja Masese, MMM.
 
kwenye “wakuu” tanzagiza haimo, no respect for this country pamoja na kujipendekeza kote kwa wakenya, hapo kwa wakuu anamaanisha Rwanda, Kenya na Uganda labda Burundi pia kwa mbali …
 
JK apumzike , yaani family yote imeingia kwenye siasa kwa tamaa ya Fisi ?? Yaani kwa mishahara hii hapumziki ??

• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir

Kwa mujibu wa The Political Service Retirement Benefits Act [CAP. 225] kila mwezi hawa watalipwa 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.

Kama Rais aliyepo madarakani anapokea TZS 50,000,000 kwa mwezi, mwenza wa Rais atalipwa malipo/mafao ya TZS 30,000,000 kila mwezi.

Rais akistaafu, mwenza/wenza wake atapokea/watapokea (kwa mkupuo) 25% ya mshahara wa Rais alioupokea wakati wote akiwa madarakani.

Mfano, kama Rais alikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 10, akalipwa TZS 4,000,000,000, mwenza wake atalipwa TZS 1,000,000,000 kwa mkupuo.

Pamoja na malipo hayo ya fedha, pia wenza hawa sita (6) wa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watapata mafao mengine kama ilivyoelekezwa;

1. Nyumba ambayo Rais alipewa na alikuwa akiitumia kama makazi baada ya kustaafu itakuwa mali yake halali baada ya mume/mke wake (Rais) kufariki.

2. Atapokea posho ya matengenezo ya kila mwezi katika maisha yake yote akiwa hai kiasi ambacho ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani.

3. Mke/mume wa Rais atatibiwa ndani na nje ya Tanzania, na matibabu yake yatagharamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mjane wa Rais mstaafu atapata huduma ya magari mawili, na dereva wawili kufanya shughuli zake za kila siku. Serikali inalipia gharama za mafuta.

5. Magari anayopewa mjane wa Rais yatabadilishwa baada ya miaka 5. Kuna maintenance allowance. 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani kila mwezi

6. Malipo ya fedha kulipa mishahara kwa kiwango cha kima cha chini cha mishahara ya watumishi kwa; dereva, mpishi, mfua nguo na mtunza bustani

7. Mke/mume wa Rais atapata huduma ya usafiri kwa gharama za serikali hadi mahali pa kuishi kwa maisha yake yote hadi pale ambapo kifo kitawatenganisha.

8. Mke/mume na watoto wanapata ulinzi kutoka Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kutokana na mabadiliko yaliyofanywa katika Sheria ya Usalama wa Taifa.

9. Gharama za mazishi ya mke/mume wa Rais yatakuwa chini ya serikali. Serikali ya Tanzania itagharamia kwa 100% msiba wa mwenza wa Rais

10. Mjane wa Makamu wa Rais, anapata stahiki kama za mjane wa Rais isipokuwa tofauti yake ni moja, atapata gari moja la Serikali na dereva mmoja.

Martin Maranja Masese, MMM.
Kama unaona Wake wa Viongozi wanafaidi na wewe kaji position kwa wagombea U Rais ule hizo asilimia
 
Back
Top Bottom