Rais Putin asema vita haitaisha hadi hapo malengo ya Russia yatakapotimizwa

Hehehe hawezi yule mzee atapukutika vbaya sana
Russia 🇷🇺 ilijiandaa
 
Kuna mtu alisema putini hajui kinachoendelea duniani.Kila kitu anaambiwa na wasaidizi wake hata simu hana.

Ila ukimsikiliza putin mwenyewe unamuona ni mtu ambae yuko mbele ya mda na yuko more apdated than you can imagine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…