SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Hiyo ID yake inatosha kueleza kuwa ni mshamba na kilaza kama huyo dhalimHujasoma hapo nilipoandika kuwa 'sio nchi ya kifalme"
Na by the way kwa kukusaidia tu Malkia wa UK ni ceremonial leader..
Mtendaji mkuu wa serikali ni PM
Sasa Kaguta Museveni ni kofia zote kwa miaka 35 kawazima kabisa walioonekana kuwa na mawazo tofauti na yeye kama Kiiza Besigye na Robert Kyagulanyi.
Hajaishia hapo naona anatengeneza succession plan kwa kumuachia mwanae Muhoozi Kainerugaba
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app