Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,488
- 86,005
Jana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tanzania.
Miongoni mwa magari hayo, kuna moja lilikua limebeba gari, iliyokuwa imefunikwa gubi gubi, nilivyojaribu kufuatilia nikagundua kuwa Museveni alitakiwa kuwepo Tanzania leo.
Swali, je ni sahihi Rais kutumia gari yake kwenye ziara kama hizi?
Ni sababu za kiusalama tu au kuna la zaidi?
Miongoni mwa magari hayo, kuna moja lilikua limebeba gari, iliyokuwa imefunikwa gubi gubi, nilivyojaribu kufuatilia nikagundua kuwa Museveni alitakiwa kuwepo Tanzania leo.
Swali, je ni sahihi Rais kutumia gari yake kwenye ziara kama hizi?
Ni sababu za kiusalama tu au kuna la zaidi?