Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 3,499
- 4,545
Punguza kuangalia tamthiliaSijui wanalindaga Nini wkt drone tu inaweza ikafanya yake.
Punguza kuangalia tamthiliaSijui wanalindaga Nini wkt drone tu inaweza ikafanya yake.
Hiyo drone iliishawahi kufanya yake wapi? Au unawalisha ujinga wajinga wenzio?Sijui wanalindaga Nini wkt drone tu inaweza ikafanya yake.
Niko nakulisha mavih mabichi wewe mke wangu mzuri.Hiyo drone iliishawahi kufanya yake wapi? Au unawalisha ujinga wajinga wenzio?
Ukiacha kuchungulia watu chooni,nami nitaacha.Punguza kuangalia tamthilia
Yani museveni anajifanya bepari kufadhili ujenzi wa shule Chato wakati uwanja wake wa ndege mchina anaumiliki muda wowote kwa kushindwa kulipa deni.
alilala gesti gani ?Alipita bukoba juzi mchana,nadhani alilala mwanza
Duh yaani wajinga walishwe ujinga na mjinga mwenzao hii si hatariiiiiii kabisa.Hiyo drone iliishawahi kufanya yake wapi? Au unawalisha ujinga wajinga wenzio?
AsanteAnaitwa kyagulanyi
Madikteta huwa ni waoga sana..
Mkuu si angetoa mfano basi tukajua anajua. Hata kwenye hadithi za The Bold hajawahi kuandika drones kufanya yao!Duh yaani wajinga walishwe ujinga na mjinga mwenzao hii si hatariiiiiii kabisa.