Rais mstaafu wa DR Congo, Joseph Kabila apokonywa walinzi

Hawezi kufanya ujinga huo huku akijuwa nchi za SADCC wanajua vizuri undani na ajenda za siri za Kabira kuhusu Congo DRC - wanajua ni nani mfadhiri mkubwa wa machafuko nchini Kongo akiwa na lengo la kupora jimbo la KIVU - mzizi wa fitina hupo pale - majeshi ya SADCC yasikubali ujinga huu kutokea - Mgabe,Zuma na Angola ndio walielewa vizuri njama hizo - sina shaka warithi wao watazima ujinga huo kirahisi sana.
Kuna kitu kinaitwa kutokuingilia mambo ya ndani ya inchi...inchi za kiafrica zikiwemo hizo za SADC zitaishia kutoa matamko ya kulaani mapinduzi Ila baada ya muda wataunga mkono juhudi...it happens all the time.

Mozambique tu hapo jirani kuna machafuko ya wale magaidi, SADC imefanya nn so far zaidi ya ku watch from distance?ht congo ya kaskazini kuna machafuko angalau Tz tumejitutumua, but where are the rest of SADC?

Isitoshe kuna inchi Majirani na Congo na nyingine za mabeberu zina nufaika na kotokuepo kwa Amani Congo...so mapinduzi yoyote kwao ni fursa...so ikitokea Kabila akitaka kufanya mapinduzi watamuunga mkono 100% maana wanajua during a war ndo muda wao wa kuchuma vzuri.
 
Rais mstaafu wa Congo DR, Joseph Kabila Kabange apokonywa walinzi wa kikosi cha jeshi waliokuwa wakimlinda na kupewa ulinzi wa Polisi wa kawaida.

Haijulikani sababu ya uamuzi huu uliofanywa na Serikali ya Felix Tshekedi. Siku za karibuni wawili hao wamekuwa katika mgogoro wa madaraka.

Habari zaidi zinasema Kabila amekimbilia Dubai baada ya hatua hizo.

Chanzo: Radio DW.
Huyu Mshkaj anajitengenezea mazingira na yey akitoka wamnyanyase
 
Hizo story za vitabuni tu,subiri uone kama hata risasi 1 itarushwa.

Wanajeshi wako loyal kwa anayewaneemesha tu,ambae kwa sasa ni Felix tu.

Huo uzalendo wa wanajeshi kuwa loyal kwa mjeshi mwenzao ulishaisha tangu enzi za che guevala huko.
Km sijakosea kabila mkubwa aliuwawa na watu aliowaneemesha,muda mwingine kumneemesha mtu sio ishu watu wanaangalia nafas ulioishika.
 
Km sijakosea kabila mkubwa aliuwawa na watu aliowaneemesha,muda mwingine kumneemesha mtu sio ishu watu wanaangalia nafas ulioishika.
Kabila snr aliuwawa na watu waliomuingiza madarakani then akaja kuwageuka huko mbeleni,yaani aliwatumia kumungiza madarakani huku akisema acha wanione mimi boya nikishakamata nchi ntawageuka wote na maazimio tuliyokubaliana porini.

Ndipo na yeye wakamtibu.
 
Kabila snr aliuwawa na watu waliomuingiza madarakani then akaja kuwageuka huko mbeleni,yaani aliwatumia kumungiza madarakani huku akisema acha wanione mimi boya nikishakamata nchi ntawageuka wote na maazimio tuliyokubaliana porini.

Ndipo na yeye wakamtibu.
Unamaanisha km huyu mshkaj anavyojaribu kuwadhibit waliomuingiza madarakan???
 
Unamaanisha km huyu mshkaj anavyojaribu kuwadhibit waliomuingiza madarakan???
Kabila Snr aliingizwa madarakani na wakina PK&associates(1st congo war),alivyokua rais akawaweka wanyarwanda kibao jeshini&vyombo vya usalama akiwamemo mkuu wa majeshi ya Congo Gen. Kabarebe (huyu baadae alikuja kua mkuu wa majeshi wa Rwanda.

Baadae Kabila akaja akawageuka Rwanda akasema wafunge virago warudi kwao hapo ndipo shughuli ilipoanzia.
 
Kabila Snr aliingizwa madarakani na wakina PK&associates(1st congo war),alivyokua rais akawaweka wanyarwanda kibao jeshini&vyombo vya usalama akiwamemo mkuu wa majeshi ya Congo Gen. Kabarebe (huyu baadae alikuja kua mkuu wa majeshi wa Rwanda.

Baadae Kabila akaja akawageuka Rwanda akasema wafunge virago warudi kwao hapo ndipo shughuli ilipoanzia.
Na huyu sidhan km alishinda uchaguz lkn alipigwa kumbo alieshinda na yy kupewa nafas lkn sasa hv anamgeuka aliyemuwezesha
 
Kwa siasa za DRC, kabila kwa sasa hana nguvu hiyo hata jeshini, toka tshekedi aingie madarakani, kuanzia wanajeshi wa ngazi ya juu, aliwafanya wakamtii, na juzi juzi alipowaachia wale watuhumiwa (wanajeshi) waliotuhumiwa kumuua laulent kabila, ndio kabisaa!

Na wananchi na ndio maana hata wanachama wake waengi waliokuwa wakimuunga mkono bungeni, wameshamkimbia!!kwani alijua kabisa kama FAYURU, angetangazwa kuwa mshindi, angetaka kulipiza kisasi haraka, na hapo congo ingeingia vitani!!lakini kwa afanyavyo tshekedi, ameshamaliza nguvu kabila!!na wananchi wengi wa congo ndicho walichokuwa wakikitaka!!kwani bila kufanya hivyo mambo yangeendelea kuwa vile vile tu!!
Bro niko lubumbashi huku jimbo la katanga Kabila ana nguvu sana cjui huko kwingine.
 
Rais mstaafu wa Congo DR, Joseph Kabila Kabange apokonywa walinzi wa kikosi cha jeshi waliokuwa wakimlinda na kupewa ulinzi wa Polisi wa kawaida.

Haijulikani sababu ya uamuzi huu uliofanywa na Serikali ya Felix Tshekedi. Siku za karibuni wawili hao wamekuwa katika mgogoro wa madaraka.

Habari zaidi zinasema Kabila amekimbilia Dubai baada ya hatua hizo.

Chanzo: Radio DW.
Tshekedi ameshindwa kutumia busara kabisa kwa nini asikae na wastaafu wake peaceful
 
Kabila snr aliuwawa na watu waliomuingiza madarakani then akaja kuwageuka huko mbeleni,yaani aliwatumia kumungiza madarakani huku akisema acha wanione mimi boya nikishakamata nchi ntawageuka wote na maazimio tuliyokubaliana porini.

Ndipo na yeye wakamtibu.
Nadhani ndio kinachoelekea kutokea kwa Felix.
 
Back
Top Bottom