Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,070
Waasi wapi hao tena?maana kama ni waasi tangu 94 anao makundi zaidi ya 7.PK jeuri...kumshuhulikia huyu ni kumpandikizia waasi waparangane nao
Waasi wapi hao tena?maana kama ni waasi tangu 94 anao makundi zaidi ya 7.PK jeuri...kumshuhulikia huyu ni kumpandikizia waasi waparangane nao
Kuna kitu kinaitwa kutokuingilia mambo ya ndani ya inchi...inchi za kiafrica zikiwemo hizo za SADC zitaishia kutoa matamko ya kulaani mapinduzi Ila baada ya muda wataunga mkono juhudi...it happens all the time.Hawezi kufanya ujinga huo huku akijuwa nchi za SADCC wanajua vizuri undani na ajenda za siri za Kabira kuhusu Congo DRC - wanajua ni nani mfadhiri mkubwa wa machafuko nchini Kongo akiwa na lengo la kupora jimbo la KIVU - mzizi wa fitina hupo pale - majeshi ya SADCC yasikubali ujinga huu kutokea - Mgabe,Zuma na Angola ndio walielewa vizuri njama hizo - sina shaka warithi wao watazima ujinga huo kirahisi sana.
Gen. Kabarebe,mkuu wa majeshi Congo baadae kaenda kua mkuu wa majeshi Rwanda.Hii inachekesha sna ..kuna jamaa alijua sijui General Rwanda baadae akaenda kua waziri Congo... hawa jamaa maisha yao?
Hivi goma ni tanzania kumbe nlikuwa sijuiKwa hio balozi wa Italy ameuwawa na wanajeshi wa kabila?
Tunaongelea yanayoendelea kinshasa wewe unaleta story za Goma?Unaijua geography ya Congo lkn?
Ndio Goma ni jirani na Karatu kama hukujua,magharibi yake unaingia Mbeya mjini.Hivi goma ni tanzania kumbe nlikuwa sijui
Huyu Mshkaj anajitengenezea mazingira na yey akitoka wamnyanyaseRais mstaafu wa Congo DR, Joseph Kabila Kabange apokonywa walinzi wa kikosi cha jeshi waliokuwa wakimlinda na kupewa ulinzi wa Polisi wa kawaida.
Haijulikani sababu ya uamuzi huu uliofanywa na Serikali ya Felix Tshekedi. Siku za karibuni wawili hao wamekuwa katika mgogoro wa madaraka.
Habari zaidi zinasema Kabila amekimbilia Dubai baada ya hatua hizo.
Chanzo: Radio DW.
Wapi JPM alisema haondoki?Kagame
Kaguta
JPM wakiona haya ndo hawataki kabisa sikia habari za kuondoka
Km sijakosea kabila mkubwa aliuwawa na watu aliowaneemesha,muda mwingine kumneemesha mtu sio ishu watu wanaangalia nafas ulioishika.Hizo story za vitabuni tu,subiri uone kama hata risasi 1 itarushwa.
Wanajeshi wako loyal kwa anayewaneemesha tu,ambae kwa sasa ni Felix tu.
Huo uzalendo wa wanajeshi kuwa loyal kwa mjeshi mwenzao ulishaisha tangu enzi za che guevala huko.
Kabila snr aliuwawa na watu waliomuingiza madarakani then akaja kuwageuka huko mbeleni,yaani aliwatumia kumungiza madarakani huku akisema acha wanione mimi boya nikishakamata nchi ntawageuka wote na maazimio tuliyokubaliana porini.Km sijakosea kabila mkubwa aliuwawa na watu aliowaneemesha,muda mwingine kumneemesha mtu sio ishu watu wanaangalia nafas ulioishika.
Unamaanisha km huyu mshkaj anavyojaribu kuwadhibit waliomuingiza madarakan???Kabila snr aliuwawa na watu waliomuingiza madarakani then akaja kuwageuka huko mbeleni,yaani aliwatumia kumungiza madarakani huku akisema acha wanione mimi boya nikishakamata nchi ntawageuka wote na maazimio tuliyokubaliana porini.
Ndipo na yeye wakamtibu.
Nataka nione mwisho wa huyu Mtu, amesemwa kwa mabaya mengi.PK jeuri...kumshuhulikia huyu ni kumpandikizia waasi waparangane nao
Kabila Snr aliingizwa madarakani na wakina PK&associates(1st congo war),alivyokua rais akawaweka wanyarwanda kibao jeshini&vyombo vya usalama akiwamemo mkuu wa majeshi ya Congo Gen. Kabarebe (huyu baadae alikuja kua mkuu wa majeshi wa Rwanda.Unamaanisha km huyu mshkaj anavyojaribu kuwadhibit waliomuingiza madarakan???
Na huyu sidhan km alishinda uchaguz lkn alipigwa kumbo alieshinda na yy kupewa nafas lkn sasa hv anamgeuka aliyemuwezeshaKabila Snr aliingizwa madarakani na wakina PK&associates(1st congo war),alivyokua rais akawaweka wanyarwanda kibao jeshini&vyombo vya usalama akiwamemo mkuu wa majeshi ya Congo Gen. Kabarebe (huyu baadae alikuja kua mkuu wa majeshi wa Rwanda.
Baadae Kabila akaja akawageuka Rwanda akasema wafunge virago warudi kwao hapo ndipo shughuli ilipoanzia.
Aliyeshinda kihalali pale ni Fayulu sema sasa yule alikua haivi kabisa na Kabila Jnr so akaona bora amuweke Felix kama kibaraka wake,haamini anachokiona sasa hivi.Na huyu sidhan km alishinda uchaguz lkn alipigwa kumbo alieshinda na yy kupewa nafas lkn sasa hv anamgeuka aliyemuwezesha
Bro niko lubumbashi huku jimbo la katanga Kabila ana nguvu sana cjui huko kwingine.Kwa siasa za DRC, kabila kwa sasa hana nguvu hiyo hata jeshini, toka tshekedi aingie madarakani, kuanzia wanajeshi wa ngazi ya juu, aliwafanya wakamtii, na juzi juzi alipowaachia wale watuhumiwa (wanajeshi) waliotuhumiwa kumuua laulent kabila, ndio kabisaa!
Na wananchi na ndio maana hata wanachama wake waengi waliokuwa wakimuunga mkono bungeni, wameshamkimbia!!kwani alijua kabisa kama FAYURU, angetangazwa kuwa mshindi, angetaka kulipiza kisasi haraka, na hapo congo ingeingia vitani!!lakini kwa afanyavyo tshekedi, ameshamaliza nguvu kabila!!na wananchi wengi wa congo ndicho walichokuwa wakikitaka!!kwani bila kufanya hivyo mambo yangeendelea kuwa vile vile tu!!
Tshekedi ameshindwa kutumia busara kabisa kwa nini asikae na wastaafu wake peacefulRais mstaafu wa Congo DR, Joseph Kabila Kabange apokonywa walinzi wa kikosi cha jeshi waliokuwa wakimlinda na kupewa ulinzi wa Polisi wa kawaida.
Haijulikani sababu ya uamuzi huu uliofanywa na Serikali ya Felix Tshekedi. Siku za karibuni wawili hao wamekuwa katika mgogoro wa madaraka.
Habari zaidi zinasema Kabila amekimbilia Dubai baada ya hatua hizo.
Chanzo: Radio DW.
Nadhani ndio kinachoelekea kutokea kwa Felix.Kabila snr aliuwawa na watu waliomuingiza madarakani then akaja kuwageuka huko mbeleni,yaani aliwatumia kumungiza madarakani huku akisema acha wanione mimi boya nikishakamata nchi ntawageuka wote na maazimio tuliyokubaliana porini.
Ndipo na yeye wakamtibu.
Historia inaweza kujirudia,ingawa Felix mjanja kiaina baada ya kumgeuka Kabila jnr sasa amejisogeza zaidi kwa kina PK kwa usalama wake zaidi.(The enemy of my enemy is my friendNadhani ndio kinachoelekea kutokea kwa Felix.