Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Rais mstaafu wa Congo DR, Joseph Kabila Kabange apokonywa walinzi wa kikosi cha jeshi waliokuwa wakimlinda na kupewa ulinzi wa Polisi wa kawaida.
Haijulikani sababu ya uamuzi huu uliofanywa na Serikali ya Felix Tshekedi. Siku za karibuni wawili hao wamekuwa katika mgogoro wa madaraka.
Habari zaidi zinasema Kabila amekimbilia Dubai baada ya hatua hizo.
Chanzo: Radio DW.
Haijulikani sababu ya uamuzi huu uliofanywa na Serikali ya Felix Tshekedi. Siku za karibuni wawili hao wamekuwa katika mgogoro wa madaraka.
Habari zaidi zinasema Kabila amekimbilia Dubai baada ya hatua hizo.
Chanzo: Radio DW.