Nchi haieleweki kesho itaamkaje,labda tutaambiwa tuliooa wanawake weupe tuachane nao!!
Wawekezaji/wafanyabiashara wameficha hela zao benki wakisubirk hali ya kibiashata iwe predictable.
Watumishi wa umma hawana security of tenure,yeyote anaweza kumfukuza yeyote mahali popote kwa sababu yeyote.
Wenye biashara hawajui TRA wataamkaje maana hata mahesabu ya kodi nasikia yanazidishwa ili kufikia lengo.
Bodaboda na trafic ni shida
Tuliambiwa elimu bure Leo tunachanga madawati
Sekta ya umma iko stagnant hakuna anayekubali kubuni kitu cha manufaa, hakuna viwanja vinavyopimwa wala nini,watumishi wanafanya conventional works,shughuli za kawaida za kila siku
Ndani ya Mwaka biashara nyingi zitakuwa zimefunga anzia grocery mpaka mahoteli na MADUKA madogo kwa makubwa!!
Magenge ya wapeleka umbeya ndio yanapewa nafasi kubwa kuliko kukaa na kusikiliza wataalam wanasemaje