Rais Magufuli yashamshinda?

Rais Magufuli yashamshinda?

Mimi nilichomwelewa ni kwamba anatutoa kwenye ufisadi wa fedha za umma, mtu masikini kunyanyaswa na mwenye mali, uzembe makazini upande wa waajiriwa wa serikali ILA ANAKOTUPELEKA NDO BADO SIJAMWELEWA.
 
Ukipita mitaani watu washachoka na story zake...
biashara haziendi.....mood iliyopo ni kusubiri labda mambo yatanyooka soon...
sasa sijui yasiponyooka itakuaje....
Sio kuchoka tu wana mwona msanii maamuzi mengi afanyayo yata mu cost. Sasa issue ka ya kagame watu wanaona anahatarisha usalama, issue ya DED kuwa katoa katoa ushahidi wa kweli kamtimua. Watu wamkumbuka jk na wanamuona hana karama ya uongozi. Magufuli ni mkali tatizo kakosa busara hekima na uvumilivu, pia inaonyesha hashirikishi wengine wampe taarifa sahihi.
 
Nchi haieleweki kesho itaamkaje,labda tutaambiwa tuliooa wanawake weupe tuachane nao!!

Wawekezaji/wafanyabiashara wameficha hela zao benki wakisubirk hali ya kibiashata iwe predictable.

Watumishi wa umma hawana security of tenure,yeyote anaweza kumfukuza yeyote mahali popote kwa sababu yeyote.

Wenye biashara hawajui TRA wataamkaje maana hata mahesabu ya kodi nasikia yanazidishwa ili kufikia lengo.

Bodaboda na trafic ni shida
Tuliambiwa elimu bure Leo tunachanga madawati
Sekta ya umma iko stagnant hakuna anayekubali kubuni kitu cha manufaa, hakuna viwanja vinavyopimwa wala nini,watumishi wanafanya conventional works,shughuli za kawaida za kila siku

Ndani ya Mwaka biashara nyingi zitakuwa zimefunga anzia grocery mpaka mahoteli na MADUKA madogo kwa makubwa!!
Magenge ya wapeleka umbeya ndio yanapewa nafasi kubwa kuliko kukaa na kusikiliza wataalam wanasemaje
maisha ya watanzania wengi yanaendelea kama kawaida mafisadi na wezi ndio wanalalamika
 
Sio kuchoka tu wana mwona msanii maamuzi mengi afanyayo yata mu cost. Sasa issue ka ya kagame watu wanaona anahatarisha usalama, issue ya DED kuwa katoa katoa ushahidi wa kweli kamtimua. Watu wamkumbuka jk na wanamuona hana karama ya uongozi. Magufuli ni mkali tatizo kakosa busara hekima na uvumilivu, pia inaonyesha hashirikishi wengine wampe taarifa sahihi.
magufuli anafanya vizuri watanzania wote wanamuunga mkono
 
Sio kuchoka tu wana mwona msanii maamuzi mengi afanyayo yata mu cost. Sasa issue ka ya kagame watu wanaona anahatarisha usalama, issue ya DED kuwa katoa katoa ushahidi wa kweli kamtimua. Watu wamkumbuka jk na wanamuona hana karama ya uongozi. Magufuli ni mkali tatizo kakosa busara hekima na uvumilivu, pia inaonyesha hashirikishi wengine wampe taarifa sahihi.

kuna watu walisema huyu ni chaguo la Mungu
kweli Mungu tunamsingizia mengi
umeona tangazo la kupiga marufuku watu wanaokumbwa na njaa kupewa chakula na serikali?
 
2005-2010 Dr Slaa akiwa HANA RUZUKU kubwa aliongeza wabunge kutoka 11 hadi 24,ongezeko la wabunge 13
2010-2015 RUZUKU ya Milion 206 kwa mwezi,Bilion 2.5 kwa mwaka tukaongeza wabunge 11 tu,pungufu wabunge wawili
Ukichora graph utaona inakuwa negative
Kwa ruzuku hii kubwa,kwa nguvu ile ya Dr Slaa na wenzake kabla hawa wageni hawajaja kutuvuruga ilipaswa tupate at least wabunge wapya 50 + hata kama tusingeshinda Presidency

Mbowe na wenzake wametuchezea sana!
Malafyale umekuja na hoja zuri sana, bali ulichosahau ni kwamba kulikuwa na mazingira tofauti sana ndani ya Chadema katika chaguzi hizo ulizozitumia kushadidisha hoja yako. Wakati katika uchaguzi wa mwaka 2010 kulikuwa na utulivu mkubwa ndani ya CDM kiasi cha kupata wabunge hao chini ya Dk Slaa, katika uchaguzi wa mwaka 2015 CDM imeingia katika uchaguzi ikiwa na mpasuko, tena, uliochochewa na Dk Slaa huyo huyo akishirikiana na akina Dk Mwakyembe lakini bado CDM ikapata wabunge wengi! Hii maana yake ni kwamba CDM ilifanikiwa zaidi katika uchaguzi wa mwaka jana kuliko wa 2015. Na kwamba kama DK Slaa asingechepuka CDM ingeweza kufanikiwa zaidi.
 
Sasa mbona unauliza na kujijibu mwenyewe? Kwani ulitegemea yawe mazuri kwa 100% ? Hata yeye Raisi Magufuli si ni binadamu tu kama wengine ambaye pia hufanya mazuri na pengine hukosea pia kama mimi na wewe tulivyo?
Wewe huyu ni Malaika
 
Koma kumuingiza Mungu kwenye mambo ya kiimani. K. I... Jingaaz
endeleeni kupiga mayowe. watumishi wa Mungu wako busy makanisani kumuombea. hata wabunge wenu huwa wanaitikia dua mbele ya Maadam SPIKA baada ya kumuombea rais wanakimbia nje.
 
Neema Zinakuja tu ,tra imeongeza mapato toka bil 850 ,hadi trill ,1.2 mwezi,bandari mapato kwa mwenzi ya ongeza toka bill 300 hadi ,517,tazara yatarajia kuongeza mizigo toka laki 130 ,mwaka jana hadi tani 380 mwak,bomba la mafutaokaa hadi a litlakimwahadimtangatlitaanzaaujenzi January mwakani na kusafirisha mapipa laki 2 kwa siku kwa tozo la dola 12 kila pipa,reli ya kati ya km zaidi ya 2000 itanza kujengwa karibuni nktk kaeni chonjo magufuli anapaaaa!! Nyie pigieni makelele tu!!!
 
Back
Top Bottom