CHADEMA ilijipanga vyema sana 2010-2015 kabla Mbowe na akina Lissu hawajatuharibia mchakato wa kura za maoni
Kumtoa Dr Slaa kwa sababu za ajabu na baadae kuteua wabunge viti maalum ambao hata hawakuwa wana CHADEMA ndiyo kumeua chama hiki
"sio lazima akae madarani miaka 5" hii kauli nimeisikia kwa viongozi wa chadema dar, mwingine akanihakikishia kabisa kwamba magufuli hamalizi miaka 5 madarakani, mkuu kuna nini nyuma ya pazia????Na kwanza tuliosema huyu ni One term president inawezekana hata asikamilishe One Term
Ofcourse sio lazima akae madarakani miaka 5.
Nani anapaswa kuifanya iwe Imara!Duh! Zamani gani hiyo ambayo CDM ilikuwa imara? Labda wengine tulikuwa hatujazaliwa. Lakini kama CDM hii iliyoanzishwa baada ya vyama vingi kuruhusiwa tena mwaka 1992, has never been stronger.
Kwani hao wafanyakazi wa umma wapo dar tu watu tupo chip tunapiga maji kisimani na mavi ya ng'ombe, acha iwe hivo
Unajua kitu kinachoitwa 'multiplier effect'?
Wafanyabiashara wanaathiri kila mtu..
wao ndo wanaathiri TRA na mapato.. na mapao ndo bajeti inapoanzia.....
kama unataka niseme watanzania wote.....wanalalamika...
siwezi sema hivyo
najua kuna watu 'mioyo yao inakoshwa na Magufuli'
swali je hao wanaokoshwa hawataguswa na hiyo 'multiplier effects?
Kweli kabisa.....saaa mbili barua unaiona kwenye wasapu wakati mfukuzwajj wala hajapewa.Bado siku aijaisha..anaweza kufukuza mtu..yaani hana dira ni shida tupu..yaani porojo za viwanda zimeisha..imekuja porojo mpya ya tunakwenda dodoma..
Hao wakulima na wafugaji wataachaje kushangilia ikiwa wanaamini akienda atawapelekea Fulana..na..KofiaWao ndio "sample" ya utafiti wako?
Kama ndiyo hivyo wakosoaji wa Magufuli mna kazi kubwa.
Kama ndiyo hoja zenu hizo mi naweza kuja na kukwambia zungumza na wakulima na wafugaji uone wanavyomsifia na kumpongeza Magufuli na Serikali yake.
Nani anapaswa kuifanya iwe Imara!
Mtamroga ili afe au mtamtoa kwa mapinduzi ya kijeshi? Unachokisema ni utabiri au ni mtazamo kupitia sayansi?Na kwanza tuliosema huyu ni One term president inawezekana hata asikamilishe One Term
Ofcourse sio lazima akae madarakani miaka 5.
Slaa...sialikimbia chama?CHADEMA ilijipanga vyema sana 2010-2015 kabla Mbowe na akina Lissu hawajatuharibia mchakato wa kura za maoni
Kumtoa Dr Slaa kwa sababu za ajabu na baadae kuteua wabunge viti maalum ambao hata hawakuwa wana CHADEMA ndiyo kumeua chama hiki
2005-2010 Dr Slaa akiwa HANA RUZUKU kubwa aliongeza wabunge kutoka 11 hadi 24,ongezeko la wabunge 13CDM hakijafa. Ni chama kinachokua. Dr Slaa asingefika mbali kwenye mbio za uraisi. Binafsi naamini kupata wabunge wengi na madiwani pia, ndio hasa kuimarika kwa upinzani. Unapimaje kuimarika au kufa kwa chama? Kwa sababu Slaa ameenguliwa? Incredible!
Hongera mkuu, umekuwa muungwana sana... Hakika huu ndio ukomavu wa kimtandaoSidhani kama umeelewa nilichoandika.

Qwi Qwi Qwi wazee wa NUTA na JUWATA wangekuwapo hai lazima wangeimbisha wimbo-wafanyakazi wote tujiungeeeee wafanyakazi woteee tujiunge pamoja-solidariti forevaaaaWanafunzi wa vyuo vikuu wanalalamika hakuna hela ya field kwa kigezo cha tunahakiki wanafunzi hewa!!...Wazazi tunaombwa pesa na watoto wetu walioko vyuoni kila kukicha na hela zenyewe hatuna!! Mtu unaamka unaenda kazini mpaka ukitoka usipopewa barua ya kufukuzwa kazi unashkuru Mungu...hali ni mbaya sana mitaani,hakuna aijuaye kesho!! Ngoja kwanza nipige picha kigari changu nikipige bei kupatana maana hali ni mbaya sana!!!
Mji upo chini ya UKAWA. Tuna wapima ukawa, kama jiji wanashindwa nchi je?
Mashart yakujiunga ni Rahisi sana..muhimu uwe unamiliki simu hata elf 20 muhimu iwe na Internetunajua masharti ya kujiunga hili jukwaa? au umekupuka tu kujiunga huku?
Hao wakulima na wafugaji wataachaje kushangilia ikiwa wanaamini akienda atawapelekea Fulana..na..Kofia
unasemaa??Na kwanza tuliosema huyu ni One term president inawezekana hata asikamilishe One Term
Ofcourse sio lazima akae madarakani miaka 5.
Baada ya kuondolewa na watu watatu tu wa kamati kuu kugombea tena akiwa kapitishwa tayari na Kamati kuu anasubiri Mkutano mkuu tu athibitishwe :Slaa...sialikimbia chama?