Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,536
- 14,275
Mkuu umeongea kweli kabisaNchi haieleweki kesho itaamkaje,labda tutaambiwa tuliooa wanawake weupe tuachane nao!!
Wawekezaji/wafanyabiashara wameficha hela zao benki wakisubirk hali ya kibiashata iwe predictable.
Watumishi wa umma hawana security of tenure,yeyote anaweza kumfukuza yeyote mahali popote kwa sababu yeyote.
Wenye biashara hawajui TRA wataamkaje maana hata mahesabu ya kodi nasikia yanazidishwa ili kufikia lengo.
Bodaboda na trafic ni shida
Tuliambiwa elimu bure Leo tunachanga madawati
Sekta ya umma iko stagnant hakuna anayekubali kubuni kitu cha manufaa, hakuna viwanja vinavyopimwa wala nini,watumishi wanafanya conventional works,shughuli za kawaida za kila siku
Ndani ya Mwaka biashara nyingi zitakuwa zimefunga anzia grocery mpaka mahoteli na MADUKA madogo kwa makubwa!!
Magenge ya wapeleka umbeya ndio yanapewa nafasi kubwa kuliko kukaa na kusikiliza wataalam wanasemaje
unafanya biashara gani? labda kama kuwauzia viroba bodabodami ni mfanya biashara mbona biashara zinaenda vizur sana
https://www.jamiiforums.com/members/the-boss.18247/Very very big....umeona ishu ya sukari tu ilivyokwenda
papara zikasababisha sukari itoke kuuzwa 2000 hadi 3500 leo
hiyo ndo nguvu ya wafanyabiashara
kama wao wako 'unhappy' nchi nzima mtaishia kuwa 'unhappy'
Huyu Rich Pol atakuwa ni waziri wa TAKWIMUndivyo unajidanganya hivyo?
Umeielewa comment au umetumia nini KukomentiPumba
pumba tupu magufuli anafanya vizuri watanzania wote wanamuunga mkono
Tatizo kubwa pia lipo kwa aina ya Wananchi tulio nao ...
Tumepiga Magoti mpaka yanauma....naona ajiombee mwenyewe tu sasa sisi tumechokaTuzidi kumuombea jamani azidi kupotea njia
Hamna chaguo LA Mungu kwa ushindi wa bao la mkono. Tena wengine walidiriki kusema aongezewe mda wa kuwa raisi kabisa.kuna watu walisema huyu ni chaguo la Mungu
kweli Mungu tunamsingizia mengi
umeona tangazo la kupiga marufuku watu wanaokumbwa na njaa kupewa chakula na serikali?
Zungumza na wenye maduka Kkko hadi Posta...
Hebu tutajie umri wako kwanza kabla hatujaanza mjadala Tusije kukaushana mate hapa kumbe MTU mwenyewe bado hujajielewa!
unataka tuonngozwe na shetani? yes Mungu ndio anatuongoza kupitia Magufuli
Inawezekana wanamwombea aingie chaka....angekuwa anaombewa neema asingegeukwa na watanzania kwa wingi kiasi hikiendeleeni kupiga mayowe. watumishi wa Mungu wako busy makanisani kumuombea. hata wabunge wenu huwa wanaitikia dua mbele ya Maadam SPIKA baada ya kumuombea rais wanakimbia nje.
Napata shida sana , kuamin tawala za afrika kama zimewekwa na Munguunataka tuonngozwe na shetani? yes Mungu ndio anatuongoza kupitia Magufuli
Nyani Ngabu rafiki yako Mwanakijiji yupo wapi? Naona kishakuacha, kajiunga na upande ule mwingine wa kutetea wakandamizaji badala ya upande wa kutetea demokrasia, heshima, utu na haki za binadamu.Taarifa zote angekuwa nazo basi kusingekuwepo na kuteua watu leo halafu kesho uteuzi unatenguliwa.
We are very docile.
Aliyeivuruga CHADEMA ni Mbowe na wala sio Dr SlaaMalafyale umekuja na hoja zuri sana, bali ulichosahau ni kwamba kulikuwa na mazingira tofauti sana ndani ya Chadema katika chaguzi hizo ulizozitumia kushadidisha hoja yako. Wakati katika uchaguzi wa mwaka 2010 kulikuwa na utulivu mkubwa ndani ya CDM kiasi cha kupata wabunge hao chini ya Dk Slaa, katika uchaguzi wa mwaka 2015 CDM imeingia katika uchaguzi ikiwa na mpasuko, tena, uliochochewa na Dk Slaa huyo huyo akishirikiana na akina Dk Mwakyembe lakini bado CDM ikapata wabunge wengi! Hii maana yake ni kwamba CDM ilifanikiwa zaidi katika uchaguzi wa mwaka jana kuliko wa 2015. Na kwamba kama DK Slaa asingechepuka CDM ingeweza kufanikiwa zaidi.