Rais Magufuli yashamshinda?

Rais Magufuli yashamshinda?

Nyani Ngabu urais ni taasisi ukimuona rais anatoa maamuzi ujue information zote anazo
Dhana ya urais ni taasisi inajitokeza pale rais anapoonekana kuwa dhaifu. Ili kumuondolea aibu ndio dhana hiyo inajitokeza. Kama rais ni imara kama sasa dhana hiyo inakuwa haina mashiko maana wasaidizi wake ni washauri tu.
 
Mzee hafikirii kama kuna watu wameshawekeza maisha yao Dar sasa hafla anataka wahamie dodoma. Sijui wangapi watawacha kazi na wangapi watakwenda dodoma
Hiyo siyo ishu; ishu ni kiasi gani hayo maamuzi yataigharim sirikali kifedha na kiutendaji.
 
..thanks.

..cdm inahitaji katibu mkuu mwenye ambition na mkakati wa kujenga
chama.

..tulikosea kumwachia Dr.Slaa afanye kila kitu na wengine wakabaki kama cheer leaders tu.

..katibu mkuu aunde TIMU ya kukipeleka chama mbele.

..pia cdm isijielekeze kwenye uraisi peke yake. Tupeleke nguvu kwenye serikali za mitaa na ubunge.
Katibu Mkuu ndiyo huyu yupo very dormant
TUFANYEJE?
 
Wengi kina nani?

Mimi nimepiga kelele tangu Enzi za Mkapa.
Rais yeyote aliye madarakani atapigiwa kelele tu. Urais una mengi, na rais hawezi kupatia yote hata siku moja.

Kila siku inayopita kutakuwa cha kukosoa kuhusu serikali. Sasa watu wakimpigia kelele utasemaje kwamba walikuwa kimya wakati wa Kikwete?
Hao wengi kina nani? Unaweza kuwataja majina?

Na kwa nini huangalii hoja zao wanazomkosoa Magufuli tuzichambue kama zina msingi au hazina msingi unaanza kuangalia nani kasema nini?
Ila huyu kazidi jamani; kha!
 
Katibu Mkuu ndiyo huyu yupo very dormant
TUFANYEJE?
Inawezekana kuna ukweli kwenye hili la ukimya wa Katibu mkuu..lkn inapasa pia tukumbuke.... wakati Dr..SLAA anafanya Siasa Chadema kulikuwa na Uwanja mpana tofauti na sasa kila siku Magufuli anafoka hataki MTU mwingine yoyote asikike isipokuwa yy tu manake ameigeuza Nchi kama Familia yake..natukumbuke ndio kipindi huyu Katibu Mkuu ameteuliwa sasa kwa style hii hata kama angekuwa Slàa leo hii angeweza kufanya kama zamani? Tukubali zama zimebadilika
 
Ata Mawaziri ni kama wamemuacha awajibike peke yake kila mtu ni hofu tu hakuna wa kumshauri.
 
Inawezekana kuna ukweli kwenye hili la ukimya wa Katibu mkuu..lkn inapasa pia tukumbuke.... wakati Dr..SLAA anafanya Siasa Chadema kulikuwa na Uwanja mpana tofauti na sasa kila siku Magufuli anafoka hataki MTU mwingine yoyote asikike isipokuwa yy tu manake ameigeuza Nchi kama Familia yake..natukumbuke ndio kipindi huyu Katibu Mkuu ameteuliwa sasa kwa style hii hata kama angekuwa Slàa leo hii angeweza kufanya kama zamani? Tukubali zama zimebadilika
Sababu kukutana ni haki ya kikatiba angekuwa Dr Slaa angeitisha mikutano zamaniii

Angekamatwa na kudharirika lkn Mahakamani angeshinda na angepata go ahead ya mikutano kwa kibali cha court

Huyu hana kitu;muoga sana
 
Kwa kiasi kilichofanya nchi nzima tukaanza kununua sukari kilo moja kwa zaidi ya shs 3000 nchi nzima badala ya bei elekezi ya 1800/=!
Nafoleni tukapanga utadhani nchi nzima ilikuwa kwenye time traveling ya miaka ya baba wa ...
Baba j hapendi mawazo kinzani yeye anajiona correct, ana create situation ambayo ikija kubuma itakua hatari. Na anaweza sema kweli ifungwe mana hulka ya wasiotaka kukosolewa huwa kuwanyamazisha opponents wao.
 
Sababu kukutana ni haki ya kikatiba angekuwa Dr Slaa angeitisha mikutano zamaniii

Angekamatwa na kudharirika lkn Mahakamani angeshinda na angepata go ahead ya mikutano kwa kibali cha court

Huyu hana kitu;muoga sana
Mkuu huoni kama unadhihirisha msemo wa Ng'ombe aliekatwa Mkia...mpendazoe....kwamba ili uonekane unafanyakazi zinahesabika idadi ya Kesi ulizonazo Polis na Mahakamani
 
Katibu Mkuu ndiyo huyu yupo very dormant
TUFANYEJE?

..hiyo inatoa changamoto kwa kila kiongozi wa cdm to pull up his/her socks kusaidia pale ambapo katibu mkuu amepungukiwa.

..yeyote ambaye angechaguliwa hapo lazima angeonekana anapwaya ukizingatia kipaji na mchango wa Dr.Slaa, katibu mkuu aliyetangulia.

..kila kiongozi sasa ajitume zaidi ya vile alivyokuwa akijituma wakati wa Dr.Slaa.
 
Makufuli utawala ha
Ujamshinda isipokuwa wapinzani wanamchanganya na asipokuwa makini atavuruga angalie wananchi masikini na haki zao
 
mimi nilicheka niliposikia akisema MAJENGO YOTE YA SERIKALI YALIYOPO DAR NITAYAPIGA MNADA..
wajanja wakamshauri aanze na Ikulu ina bei nzuri !!
 
Tatizo la Viongo wa tanzania hawashauriki. Na tatizo la Wananch wa Tanzania hawajui kuhoja wala kudadisi. Mtu ukiikosoa serekali unaonekana ni mpinzani hata kama hauna chama.
 
Mbuga zipi!???
mlisema Kikwete hatamaliza mda wake wa urais lkn leo ni rais mstaafu tena kastafu kwa Heshima.
hizi kelele zenu tushazizoea. Magufuli anazidi kuchanja mbuga,[/QUOTMbua
 
Back
Top Bottom