Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,397
- 6,363
Hayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
Hivi drones zimeruhusiwa?Hayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
Hayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
Hivi drones zimeruhusiwa?Hayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
Ya huyu ina walakini na haiwezi kuthibitika kitaaluma, ila ya yule wa jalalani imeathiriwa na njaa.
Dishi limeyumba huyo. Bado kidogo linaweza hata kuanguka huko lilipofungiwa.Heshima yangu yote kwa huyu mtu nimeifuta rasmi.
Drone akataze, kurusha hata kwenye taarifa ya Habari TBC akataze, leo anaongea upupu namna hii?
Rais mzima anajisifia mafuriko ya wananchi? Tena yakutengeneza?
Hii no aibu ya mwaka! Unajisifia ujinga wa kubeba watu kutoka Urambo na wilaya zingine ili ujaze uwanja? Hivi akiwa bila wasanii atamwona nani? Ili kutu-prove wrong aende mkutano wa Katavi na Rukwa bila wasanii tuone kama atajaza uwanja!
Rais umedanganywa kama hawakwambii ukweli kimbunga unachokiona ndiouhalisia wenyewe tunategemea kulipwa nyavu zetu ulizozichoma tunaomba kwamungu wa rehma uanguke
Mkuu Hali sio Hali upepo wa siasa umebadilika,hivyo mzee kaisha kubali kwamba mziki wa upnde wa pili sio wa kitoto,na tatizo kubwa ccm hasa mgombea aliingia kwenye ulingo akiwa amejiamini Sana ,Sasa nashangaa kweli ccm chama Cha mda mrefu hakina watafiti ,au wapo hawakua wakitimiza wajibu wao ,katika kunishauri , mfano maisha magumu hata Kama alibana angalau kuanzia mwaka 3mwishoni angeweza kulegeza kidogo Sasa mzee kabana mpaka kipindi hiki ,anategemea nini,vipo vitu vingi angeweza kuvirekebisha ,Sasa watu wamechoka na ogopa mtu aliechoka mda wowote anakua anasubili chanzo tu alipuke,ndo maana wadau mbali mbali wanawambia tume kutocheza na uchaguzi huu ,na kwa Sasa ndo wakutuvusha au la tz ipo mikononi mwao,na mungu aingilie katiHeshima yangu yote kwa huyu mtu nimeifuta rasmi.
Drone akataze, kurusha hata kwenye taarifa ya Habari TBC akataze, leo anaongea upupu namna hii?
Rais mzima anajisifia mafuriko ya wananchi? Tena yakutengeneza?
heee sio Sgr,flyover ....
Mnooooo. Aliyesema upinnzai umekufa alimdanganya sana mwenyekiti wetuInaonyesha pumzi imemwishia kabisa.
🤣Hajui kama sasa kila kitu laivu