Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,621
YapItakuwa ndio wanavyofanya CCM
YapItakuwa ndio wanavyofanya CCM
YouTube live unaichakata vipi? Au anadhani tunatwgemea Tbc kupata updates za kampeni?Hayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
JPM anajaza nyomi mwanzo mwisho kila aendapo.masikini Lissu kuna mikoa hakupata watu mpaka huruma kwakweli.
Jana madogo wa Tabora Boyz walikatishwa vipindi waende kwenye mkutano .Heshima yangu yote kwa huyu mtu nimeifuta rasmi.
Drone akataze, kurusha hata kwenye taarifa ya Habari TBC akataze, leo anaongea upupu namna hii?
Rais mzima anajisifia mafuriko ya wananchi? Tena yakutengeneza?
Anajisifia hivyo labda Tabora hawakubebwa na malori.Heshima yangu yote kwa huyu mtu nimeifuta rasmi.
Drone akataze, kurusha hata kwenye taarifa ya Habari TBC akataze, leo anaongea upupu namna hii?
Rais mzima anajisifia mafuriko ya wananchi? Tena yakutengeneza?
Uongo umeshawahi kukusaidia nini?JPM anajaza nyomi mwanzo mwisho kila aendapo.masikini Lissu kuna mikoa hakupata watu mpaka huruma kwakweli.
C aruhusu bc vyombo vya habar viwe vinarusha matangazo live ya mikutano ya lissu ajionee mambo yakoje ...lkn sio hao TBCHayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
Heshima yangu yote kwa huyu mtu nimeifuta rasmi.
Drone akataze, kurusha hata kwenye taarifa ya Habari TBC akataze, leo anaongea upupu namna hii?
Rais mzima anajisifia mafuriko ya wananchi? Tena yakutengeneza?
Hiyo ndiyo kazi kubwa wanayoifanya kila mahali.Kampeni za mgombea mwenza wake nayo hivyo hivyo.Inashangaza sana kuona anafurahia jambo ambalo anajuwa kabisa ni la kutengenezwa.Mwingine ANAJAZA wanafunziView attachment 1576976
Hayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
Ya huyu ina walakini na haiwezi kuthibitika kitaaluma, ila ya yule wa jalalani imeathiriwa na njaa.Huyu mzee na yule wa jalalani wamefanya PHD ionekane kitu cha hovyo.
kweli kaishiwa sera huyu.... rais mzima kuongea hivi ndiyo nini?Hayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965