mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,881
- 136,795
Hilo Jina lako tuna wasiwasi na uraia wako!Wewe unaogopa nini kuja na jina lako halisi halafu ndio umnyooshee kidole mtu mwingine una fikiri anaogopa?
Si kagera line hiyo
Ova
Hilo Jina lako tuna wasiwasi na uraia wako!Wewe unaogopa nini kuja na jina lako halisi halafu ndio umnyooshee kidole mtu mwingine una fikiri anaogopa?
Unamhitaji na nani? sema unamhitaji sio sisi wewe na nani? kwenye post tuu umebaki ukitapata kama kuku aliyekatwa kichwa unaruka ruka tuu huku na kule huna lolote................ unamhitaji mwenyewe bwana sio sisi
Naunga mkono hojaInawezekana asilimia tisini ya wapiga kura ndani na nje ya Chama husika ni mafisadi, walarushwa na wahujumu uchumi "anaopambana" nao
Hofu ya kupambanishwa nao ndio msingi wa minyukano na sarakasi na vioja vya kudukuana
Kama takwimu kuhusu tabia za hao wapiga kura hazipo kama nilivyoeleza hapo juu basi tatizo laweza kua kwa mpigiwa kura mwenyewe
Zamu yake kukatwa 😀 😀 😀 😀 😀 😀 , mwosha huoshwaHakuna anayempenda huyo kama kweli anajiamini wamuache Membe kama hajapata kura za aliowateua pekee kwenye mkutano wa Nec, na safari hii ni zamu yake kukatwa haahaha
Unajua maana ya kuongoza au unabwabwaja, unaongozaje wakati njia huijui?Tupo wengi tu tunaomuhitaji Raisi Magufuli atuongoze kama wewe haumuhitaji ni sawa pia, lkn mimi nawajua watu wengi wanamkubali Raisi Magufuli 2020/25!
a cruel and oppressive ruler.Unajua maana ya ,,tyrant“ ? Au unarusha tu maneno bila ya kuyaelewa?
Unajua maana ya kuongoza au unabwabwaja, unaongozaje wakati njia huijui?
a cruel and oppressive ruler.
Kwahiyo anawaogopa kina Membe.kwa mtazamo wangu naona, hao wanaotaka kugombea ndi wanaotengeneza hofu inayoonekana ipo.
Umetiwa upofu huwezi kuona chochote hata ukionyeshwa.Amekufanyia nini wewe na familia yako labda? Ni lini na wapi wewe au familia yako mmekuwa oppressed na cruelty?
Waovu siku zote huwa wanakua waoga!Ameandika swahiba #Dk_Levy
Kama anafanya kazi vizuri. Kama anajenga miundo mbinu, kaleta nidhamu ya kazi serikalini. Kama amedhibiti mafisadi na kubana matumizi ya hovyo. Kama anakusanya mapato vizuri na kugawa keki ya taifa kwa usawa. Kama ujenzi wa kiwanja cha ndege Chato na mbuga ya Burigi, ni jambo la faida kwa taifa. Kama kweli anatoa elimu bure na huduma za afya hivi sasa ziko sawa. Hofu kwa wapinzani inatoka wapi?
Kama kweli CCM ya sasa ni mpya. Kama kweli kadhibiti mapato na mali za chama. Na kama kweli CCM wote wanamuunga mkono.
Huyo Membe akitaka kuomba ridhaa ya kugombea 2020 kupitia CCM. Nani atampa kura kama CCM ya sasa yote ni mpya?
Hofu ya Membe inatokea wapi?
#UtawalaWaMazingaombwe
Umetiwa upofu huwezi kuona chochote hata ukionyeshwa.
Unajua maana ya ,,tyrant“ ? Au unarusha tu maneno bila ya kuyaelewa?
Tatizo unaweza kuwa bora na bado ukashindwa, mara faulo inatengwa karibu na lango dakika ya 93, Mahrez anazamisha nyavuni na mpira unaishia palepale, ndo hali ya dunia lakini...Anaogopa kukosolewa na kushindwa naota lakini
Kweli ujijui si ajabu ata jinsia yako huijuiTatizo aliwekeza zaidi kwenye kuwalisha watu matango pori kuliko uhalisia,sasa kadri muda unavyoenda anaona wadanganyika wameshitukia Matango pori yake,na shamba la matango pori ndo linaishia,sasa bila kutumia nguvu 2020 akipata mshindani iwe ndani au nje atawalisha wadanganyika nini?Ataenda kuwaambia nimejenga hospital wakati hazionekani?
Unasemaje wewe zwazwa😲Wewe unaogopa nini kuja na jina lako halisi halafu ndio umnyooshee kidole mtu mwingine una fikiri anaogopa?
Huoni aibu we mama👩Kweli ujijui si ajabu ata jinsia yako huijui