sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,480
Tupo wengi tu tunaomuhitaji Raisi Magufuli atuongoze kama wewe haumuhitaji ni sawa pia, lkn mimi nawajua watu wengi wanamkubali Raisi Magufuli 2020/25!
Naamini unawasemea mapolisi ambao ndo wanaofanya kazi za sisiemu sasa hivi.. Takwimu za mwisho za Twaweza zilizomponza bosi wake Aidan Eyakuze, zilionyesha umaarufu wake uliporomoka mpaka kufikia asilimia 50, na hiyo ni mwaka jana..