LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 11,788
- 15,406
Umesema vema, tatizo Ni viongozi wa ccm kukandamiza wanachama wenzao...katiba inaruhusu mchujo ndani ya chama...
Yaani kosa la membe Ni kutaka kutumia haki yake ya kikatiba dahMembe atatulia tu anabipu ili atauliwe Sehemu ya kula
Utakuwa una ugonjwa fulani. Wahi kamwone daktari. Kilangila.Tundu Lissu anatumia Jeshi la Kukodi toka Ujiji ku beep Wachagga
Matibabu yake yanagharimiwa na Mabeberu waliotafutwa na Zitto sasa ile michango imeenda wapi?, Wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanahoji
Fedha za mauzo ya tishert za jina lake zimepeperushwa