Rais Magufuli, unaogopa nini kwa Membe?

Rais Magufuli, unaogopa nini kwa Membe?

Wewe unaogopa nini kuja na jina lako halisi halafu ndio umnyooshee kidole mtu mwingine una fikiri anaogopa?
Sawa tuseme mleta mada kumbe ni muoga ndio maana anakuja na jina bandia. Jee hiyo inafuta mantiki ya swali kuwa kwa nini Rais na mwenyekiti wa chama anaogopa wapinzani wake wakati yeye ana sema anatenda mambo bora haijapata kutokea? Membe si atakuwa anajisumbua tuu ili kudhihirisha demokrasia ndani ya chama wakati akipata kura hazizidi 2%?
Na hawa wapinzani watafanya nini kwa huyu ambaye ni "chaguo la Mungu"?
Au anajua kuwa kuna mahali wanatupiga fix hivyo kuruhusu upinzani waseme basi wapiga kura watajuwa kuwa tunachezewa kekundu keusi?
 
1 Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.
2 Kwa sababu ya maasi ya nchi wakuu wake huwa wengi; Bali kwa wenye ufahamu na maarifa hali ya nchi hudumishwa
3 Mtu mhitaji awaoneaye maskini, Ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza chakula.
4 Wao waiachao sheria huwasifu waovu; Bali wao waishikao hushindana nao.
 
Uongozi ni kipaji/kipawa.
Hata mimi nashangaa wasiwasi wa wapinzani unatoka wapi wakati kwa kweli anapiga mzigo. Angewaacha waeleze Sera zao tu na wangekufa wenyewe kifo cha mende. Lakini kwa kuwakandamiza wapinzani inawafanya wapate sympathy. Nina hakika atakosa kura za kutosha kutokana na suppression ya wapinzani.
 
Wakuu hivi kwani kuna siku Membe ametangaza atagimbea urais alafu Magufuli akapinga? Hilo jambo lilifanyika lini mbona wengine hatujaona?

Mm naona wapinzani wa Magufuli mnapuyanga sana, yaani hata wale kutoka vyama pinzani nao sasa wanamshabikia Membe!

Membe ni ccm na Magufuli ni ccm, kwahiyo yeyote atakaye teuliwa upinzani hakutakuwa na faida nae.
Msiwe vipofu
Kama hawaogopi hao wana CCM wenzake, kwanini anadukua mawasiliano yao?
 
Uongozi ni kipaji/kipawa.
Mshauri mkuu wake
IMG_20190804_105837.jpeg
 
Ameandika swahiba #Dk_Levy

Kama anafanya kazi vizuri. Kama anajenga miundo mbinu, kaleta nidhamu ya kazi serikalini. Kama amedhibiti mafisadi na kubana matumizi ya hovyo. Kama anakusanya mapato vizuri na kugawa keki ya taifa kwa usawa. Kama ujenzi wa kiwanja cha ndege Chato na mbuga ya Burigi, ni jambo la faida kwa taifa. Kama kweli anatoa elimu bure na huduma za afya hivi sasa ziko sawa. Hofu kwa wapinzani inatoka wapi?

Kama kweli CCM ya sasa ni mpya. Kama kweli kadhibiti mapato na mali za chama. Na kama kweli CCM wote wanamuunga mkono.

Huyo Membe akitaka kuomba ridhaa ya kugombea 2020 kupitia CCM. Nani atampa kura kama CCM ya sasa yote ni mpya?

Hofu ya Membe inatokea wapi?

#UtawalaWaMazingaombwe

Umeeleweka.
Kama unatenda mema, wale unaowatendea mema watakutetea. Hivyo hakuna sababu ya kuogopa chochote maana huna maadui.
 
Kaka wewe bila dictionary au Google huwezi kuelewa au?

Nani amekuomba utafute tafsiri ya hilo neno
100 percent Kiingereza kwako ni tatizo kubwa

CCM mbele kwa mbelle
Unajua maana ya ,,tyrant“ ? Au unarusha tu maneno bila ya kuyaelewa?
 
yeye mwenyewe anajua mapambio anayopewa hayatoki moyoni.
 
Sawa, ni jinsi uonavyo wewe, kuna watu pia wanamuona Babako ni evil human lkn labda wewe haumuoni hivyo, kila kitu ni relative hapa Duniani.


Huyo baba yake akiwa Evil anamadhara gani kwa nchi? yeye ni evil kwenye familia yake inayoishia geitini............. Sisi tunasemea huyu mwenye ambaya madhara yake yanacost maisha ya Watanzania 55m na bado nje ya taifa na ulimwengu kwa ujumla............... nenda Lumumba ukaendelee na Praise and worship team yenu
 
Huyo baba yake akiwa Evil anamadhara gani kwa nchi? yeye ni evil kwenye familia yake inayoishia geitini............. Sisi tunasemea huyu mwenye ambaya madhara yake yanacost maisha ya Watanzania 55m na bado nje ya taifa na ulimwengu kwa ujumla............... nenda Lumumba ukaendelee na Praise and worship team yenu


Hiyo ni jinsi uonavyo wewe, wewe unamuona ana madhara sisi tunamuona ana faida na tunamuhitaji 2020/25, hivyo kila kitu ni relative!
 
Hiyo ni jinsi uonavyo wewe, wewe unamuona ana madhara sisi tunamuona ana faida na tunamuhitaji 2020/25, hivyo kila kitu ni relative!


Unamhitaji na nani? sema unamhitaji sio sisi wewe na nani? kwenye post tuu umebaki ukitapata kama kuku aliyekatwa kichwa unaruka ruka tuu huku na kule huna lolote................ unamhitaji mwenyewe bwana sio sisi
 
Back
Top Bottom