Rais Magufuli, unaogopa nini kwa Membe?

Rais Magufuli, unaogopa nini kwa Membe?

IMG-20190808-WA0010.jpg
 
Wewe unaogopa nini kuja na jina lako halisi halafu ndio umnyooshee kidole mtu mwingine una fikiri anaogopa?
HIZI NI DALILI KWAMBA UMETUMA HUU UJUMBE UKIWA CHOONI HUJAMALIZA HAJA NDO MAANA UNALETA HIKI KIPINDUPINDU HAPA JF NYAMBAFU WEYE.
 
Hofu lazima iwepo, kwa sababu wengi ni vibaraka na amewazibia mirija sasa wanamuandama.
 
Ameandika swahiba #Dk_Levy

Kama anafanya kazi vizuri. Kama anajenga miundo mbinu, kaleta nidhamu ya kazi serikalini. Kama amedhibiti mafisadi na kubana matumizi ya hovyo. Kama anakusanya mapato vizuri na kugawa keki ya taifa kwa usawa. Kama ujenzi wa kiwanja cha ndege Chato na mbuga ya Burigi, ni jambo la faida kwa taifa. Kama kweli anatoa elimu bure na huduma za afya hivi sasa ziko sawa. Hofu kwa wapinzani inatoka wapi?

Kama kweli CCM ya sasa ni mpya. Kama kweli kadhibiti mapato na mali za chama. Na kama kweli CCM wote wanamuunga mkono.

Huyo Membe akitaka kuomba ridhaa ya kugombea 2020 kupitia CCM. Nani atampa kura kama CCM ya sasa yote ni mpya?

Hofu ya Membe inatokea wapi?

#UtawalaWaMazingaombwe
Hata ungekuwa wewe usinge kubali tusidanganyane hapa, unazani yeye Hana akili Wala uchungu na mwanae Bashite. Na pia ukumbuke pale hazina Kuna mtoto wa dada ndo anayejua tu zile tillions za CAG zilipo
 
John MAGUFULI ni mwana CCM,bernad MEMBE ni mwana CCM,yeyote atakaye shinda ikitokea kapewa bendera ya CCM dhahiri ni ushindi wa CCM,wanaomtuhumu MEMBE ni wana CCM,wanaomshangilia MEMBE ni wana CCM, kati ya makundi yote hayo hakuna mpinzani,wanaomuunga mkono MAGUFULI ni wana CCM wanaohatarisha ushindi wa CCM dhahiri ni wapinzani kwani ikitokea mgombea wa upinzani kashinda basi ndio kifo cha CCM,lakini ikitokea mgombea wa CCM kashinda iwe MEMBE au MAGUFULI basi ni ushindi wa CCM,kama ni hivyo jiulize KUNA NINI HAPA,?kundi la MAGUFULI linahofu gani ikiwa MEMBE akiwa raisi?hapo ndipo usemi wa jenerali ulimwengu unafanya kazi"ukiona mtu anaamini anafanya vizuri lkn hataki watu wamkosoe basi tambua hana jema afanyalo,jambo jema halifichiki,
 
Tundu Lissu anatumia Jeshi la Kukodi toka Ujiji ku beep Wachagga

Matibabu yake yanagharimiwa na Mabeberu waliotafutwa na Zitto sasa ile michango imeenda wapi?, Wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanahoji

Fedha za mauzo ya tishert za jina lake zimepeperushwa
 
Kinyang'anyilo cha mgombea Urais ccm 2020, Jiwe halali usingizi, baada ya kupata urais waliomsaidia wote na kumfikisha hapo akawaona hawana maana, sasa anajiuliza atapitia wapi?
 
Back
Top Bottom