Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,351
- 22,954
Wa kusema na kuchagua wanayemtaka na hicho ndicho kinachofanyika hapa nyumbani Ref. Zanzibarwalibya walikosa uhuru wa kufanya nini?
Wa kusema na kuchagua wanayemtaka na hicho ndicho kinachofanyika hapa nyumbani Ref. Zanzibarwalibya walikosa uhuru wa kufanya nini?
Wewe una akili ndogo(Sina nia yakukudhalilisha )Utakula huo Uhuru?
Uhuru ndio utajenga barabara na kuhakikisha watoto wote wanaenda shule na kupata elimu bora? Uhuru ndio utaleta madawa hospitalini?
Ingekuwa hivo nchi za kiafrika zisingekuwa hapa kimaendeleo miaka zaidi ya 50 tangia zilipoanza kupata Uhuru.
Heri maskini huru kuliko tajiri mtumwa!Kuna walibya WALIPOULIZWA Kwanini wanataka Gaddafi aondoke walijibu kuwa wanapenda demokrasia zaid. Wazungu wakasema shwari. Walibya wakasaidiwa kumtoa Gaddafi madarakan, tena kwa aibu kubwa. Kilichofuata ndo kama tunavyoona. Hakuna maendeleo wala demokrasia. Hakuna Uhuru wala fursa. Yaliyobaki ni majuto. Libya imevurugwa
Kuna waswahil kila kitu kinachosemwa na wazungu wanaamini hata kama hakipoNini maana ya dikteta? Vigezo gani vinavyotumika kumwit gadafi dikteta? Je kukaa madarakani muda mrefu ni udikteta?
Kweli wewe ni nyanya mbichi unataka wahubiri vita kila cku ???????kwa kiasi kikubwa viongozi wetu wanatupotosha kuhusu amani hasa walioko madarakani
Hivi Afrika kusini kwa vile zilijengwa barabara nzuri,hospitali nzuri ,shule, vyuo vikuu, na vingine vingi tu kuliko mahali pengine Afrika kudai uhuru hakukuwa na maana?Utakula huo Uhuru?
Uhuru ndio utajenga barabara na kuhakikisha watoto wote wanaenda shule na kupata elimu bora? Uhuru ndio utaleta madawa hospitalini?
Ingekuwa hivo nchi za kiafrika zisingekuwa hapa kimaendeleo miaka zaidi ya 50 tangia zilipoanza kupata Uhuru.
Wa tz hawaja liona hilo tumezowea kupinga hadi ukweliCha muhimu tupate mtu kama Gaddafi. Aweze kutumia rasilimali za nchi kututoa hapa tulipo kama Gaddafi alivyo fanya kwa libya. Magufuli anaonekana anaweza. Tumpe muda.
Mataifa gani raia wana uhuru wa kusema vyovyote wanavyotaka? Kwa taarifa yako voting haiwezi kufanya mtu kuwa kiongozi wa nchi bila ya vettingWa kusema na kuchagua wanayemtaka na hicho ndicho kinachofanyika hapa nyumbani Ref. Zanzibar
Kwa kauli zako basi sisi waTz na wa Africa tunapotezewa muda na chaguzi zisizo realMataifa gani raia wana uhuru wa kusema vyovyote wanavyotaka? Kwa taarifa yako voting haiwezi kufanya mtu kuwa kiongozi wa nchi bila ya vetting
Hao uliokaa nao wakakwambia hivyo leo hii kawaulize tena wanaonaje maisha kipindi cha Gadaffi na sasa?Maisha ya kupewa bure tu sio maisha.
Hakuna ajira .
Zilizopo wanapewa watu kutoka sirte nyumbani kwa gadafu.
Nilikaa na wa libya ...nikamuuliza kuhusu hili..imekuwaje mkamuondoa gadafi wakati kila kitu. Na huku Afrika tunamuina mtu wa maana? mnapata? Akanijibu kuwa ni kiini macho tu. Pesa zikigaiwa ni mfano wa rushwa. Mtu unakosa maendeleo binafsi walibya walibaki omba omba kusubiri ration ya bure.
Na walofaidi ni kabila lake zaidi.
Akasema fedha nyingi watoto wake walificha nje.
Na yeye kupoteza fedha nyingi kujijenga kwa mataifa ya afrika kwa kuwalipia hata fees za AU
Kuwasaidia pesa nyingi bila ya mtu kuhoji
Walibya walikua gerezani...
Wanakula cha kugaiwa na wamejianamia
Waafrika ni watu wa ajabu sana. Afrika kusini imefika hapo ilipo kwa sababu ya udikteta wa makabulu. Leo hii waafrika wenyewe wanapoamua kutumia udikteta japo kwa kipindi kifupi ili kuinyoosha nchi na mambo yaende watu wanaona wanaonewa. Tanzania ilipokuwa imefikia ilihitaji mtu mkali kidogo ili arekebishe mapungufu yaliyopo, aweke misingi mizuri ya nchi ndiyo mambo mengine yafuate. Inawezekana Magufuli ndoto yake kubwa ni kuifanya Tanzania iwe kama Libya ya Gadafi! Tumpe muda afanye anachotaka kwa sababu anadhamira ya dhati na Tanzania. Huu ukata na mambo mengine yanayojitokeza ni kwa sababu anajenga msingi wa kuiongoza Tanzania, ndio maana watu wanakua katika mgumu. Kwa kifupi tumpe muda na tumruhusu aendelee na kuishape Tanzania anayo itaka baadae mambo mengine yatafuta kiulaini tu.Hiyo mifano kwa nini asiitoe kwa south Africa ambayo ilikumbatia ubaguzi mpaka wakasababisha maafa kama anavyofanya yeye ubaguzi?
It is of my opinion, hii ndio mipasho as opposed to hoja aliyopost NN.Wakati mwingine unaweza kuwa mtu wa aina fulani lakini ukakosa sifa kutokana na kile unachokitetea. Ngabu unahoja dhaifu, hoja ambayo huwa naifananisha na nyimbo za mipasho. Umekuwa mmoja kati ya wenye kuziba macho na kujitia upofu hata pale linapofanywa jambo lililosahihi. Umekuwa na hulka ya kujifanya unajua kila kitu lakini hutambui kuwa hujui. Mwana Africa yoyote asiyetambua kile alichokifanya GADAFI katika uhai wake na kile kinachoendelea baada ya kuondoka kwake Ni muongo na mtu wa kuogopwa
Unafki hausaidii katika kutafuta kilicho cha kweli. Mipasho kama hii haipaswi kuandikwa na wewe. lakini kwa kuwa umekuwa muimbaji wa taarab endelea kutawala jukwaa ipo siku utapata ufalme kama sio umalikia. TANZANIA NI YA KWETU
Hujanielewa broKweli wewe ni nyanya mbichi unataka wahubiri vita kila cku ???????
Acha kudanganya watu weweWaafrika ni watu wa ajabu sana. Afrika kusini imefika hapo ilipo kwa sababu ya udikteta wa makabulu. Leo hii waafrika wenyewe wanapoamua kutumia udikteta japo kwa kipindi kifupi ili kuinyoosha nchi na mambo yaende watu wanaona wanaonewa. Tanzania ilipokuwa imefikia ilihitaji mtu mkali kidogo ili arekebishe mapungufu yaliyopo, aweke misingi mizuri ya nchi ndiyo mambo mengine yafuate. Inawezekana Magufuli ndoto yake kubwa ni kuifanya Tanzania iwe kama Libya ya Gadafi! Tumpe muda afanye anachotaka kwa sababu anadhamira ya dhati na Tanzania. Huu ukata na mambo mengine yanayojitokeza ni kwa sababu anajenga msingi wa kuiongoza Tanzania, ndio maana watu wanakua katika mgumu. Kwa kifupi tumpe muda na tumruhusu aendelee na kuishape Tanzania anayo itaka baadae mambo mengine yatafuta kiulaini tu.
Hujajua maana ya uhuru badoUtakula huo Uhuru?
Uhuru ndio utajenga barabara na kuhakikisha watoto wote wanaenda shule na kupata elimu bora? Uhuru ndio utaleta madawa hospitalini?
Ingekuwa hivo nchi za kiafrika zisingekuwa hapa kimaendeleo miaka zaidi ya 50 tangia zilipoanza kupata Uhuru.