Nampurukano
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 1,816
- 2,239
Gadafi hajawahi kuwa roll model ya utawala mzuri si kwa africa tu hata huko Libya kwenyewe, mambo yanayofanyika chini ya carpet kwa viongozi kama hao usipime, of course kuna watu wanafaidika na tawala kama hizo na watazisifia sana. Watu wanashindwa kuelewa kwamba aliyesababisha kutoweka kwa amani Libya ni Gadafi mwenyewe wala hakuna mtu mwingine, hata kufa alijisababishia yeye. Bila udikteta wake Gadafi angeweza kuifanya Libya ikawa nchi ya amani na utulivu daima na yeye akaishi kama Farther of the Nation hata baada ya kutoka madarakani.
