Maistro 1
JF-Expert Member
- Sep 4, 2015
- 422
- 181
Issue ni kuwa wasukuma wengi walichelewa kwenye elimu. Na walivvyo soma sasa wangekuwa ivivyo miaka ya 80s na 90s na wao wangekuwa ivyo - ivyo.Wasukuma wanglikuwa na ukabila ungehama hii nchi wewe. Acha kabisa habari za kutungatunga hapa. Ukabila wa wasukuma uko wapi?
Wewe hujaona makabila yenye ukabila? Kwa maslahi yako na wasiojua tamaduni za makabila Tanzania, ukikuta kuna mnyakyusa, muhaya, ama m changa kiongozi kwenye kampuni, kampuni hiyo hasa nafasi za juu watajaa wanyakuysa, wachaga ama wahaya hata kama hawana sifa. Wasukuma uliwakuta wanabebana wapi?
Wanglikuwa kama Wachanga, Wanyakyusa na WAhaya, vikakablia vingine hivi vingelikimbia uhamishoni. Acha kuwasingizia.