Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Wasukuma wanglikuwa na ukabila ungehama hii nchi wewe. Acha kabisa habari za kutungatunga hapa. Ukabila wa wasukuma uko wapi?

Wewe hujaona makabila yenye ukabila? Kwa maslahi yako na wasiojua tamaduni za makabila Tanzania, ukikuta kuna mnyakyusa, muhaya, ama m changa kiongozi kwenye kampuni, kampuni hiyo hasa nafasi za juu watajaa wanyakuysa, wachaga ama wahaya hata kama hawana sifa. Wasukuma uliwakuta wanabebana wapi?

Wanglikuwa kama Wachanga, Wanyakyusa na WAhaya, vikakablia vingine hivi vingelikimbia uhamishoni. Acha kuwasingizia.
Issue ni kuwa wasukuma wengi walichelewa kwenye elimu. Na walivvyo soma sasa wangekuwa ivivyo miaka ya 80s na 90s na wao wangekuwa ivyo - ivyo.
 
Heshima kwenu wakuu,

Juzi rais alipotutembelea huku kwetu Kagera, rais Magufuli alijinasibu kwamba yeye ni Muyango yaani "abayango" hujiita Wazilankende. Akadai babu yake alizikwa pale Bukoba mjini Sehemu inaitwa Uswahilini pale karibu na Sanamu la Mayunga. Jina la babu yake limenitoka nikikumbuka ntaedit niweke hapa ila ni kama alisema aliitwa Mzee Mshalila(?).

Huyu mzee Mashalila alizaa watoto watatu, bahati mbaya hawa watoto wapo hadi leo sema akili zao hazipo sawa. Wapo Uswahili pale Bukoba Mjini.

Kwa wasiofahamu sifa ya Wazilankende ngoja nifafanue kidogo. Nkende ni ngedere, sasa hawa wazilankende ni marafiki wa ngedere. Yaani hata akimuona ngedere barabarani inatakiwa awabebe ndizi. Akikuta ngedere amekufa inabidi alie au anaumwa inabidi amtibie. Hao ndo wazilankende.

Hata ukiangalia kwenye hotuba ya Mbunge wa bukoba mjini Mh. Lwakatare wakati anamkaribisha alisema karibu nyumbani Mzilankende "wayanga waija" hatimaye umekuja(kwa tafsiri isiyo sahihi.).

Ndugu zake rais Magufuli waliopo Bukoba ni Oscar Mashalila, Dotto Mashalila watatu nmesahau jina la mtoto wa tatu, sema ni maarufu tu mjini japo hapo sawa.

Huo ulikuwa ni utangulizi. Swali langu ni;

Rais Magufuli ni nani?
1. Mzilankende
2. Msubi,
3. Msukuma
Au Muyango?

Kusema kweli mtakuwa mumenaidia sana.

koo ama ukoo wa "bazira nkende" upo/wapo pia Kigoma na Burundi
 
Mhaya awezi kuwa rais aisee,kazi zao zinajulikana!!..
Na hakuna anayetamani kuwa JPM ni muhaya, hapana. Ila "abayango (abazilankende) ni ukoo mmoja huko Kiziba Bukoba. na inawezejkana hata Uganda wapo maana ukanda huo wote watu wako related.... Buganda, Bunyoro Kiziba Misenyi Kyaka
 
Na hakuna anayetamani kuwa JPM ni muhaya, hapana. Ila "abayango (abazilankende) ni ukoo mmoja huko Kiziba Bukoba. na inawezejkana hata Uganda wapo maana ukanda huo wote watu wako related.... Buganda, Bunyoro Kiziba Misenyi Kyaka
Najua Mkuu maana yng ni hi wahaya ni watu wasom ten weny uwezo mkubw wa kufany professional works,sio hiz siasa uchwara,wng wako IMF,WB,ILO NK
 
Najua Mkuu maana yng ni hi wahaya ni watu wasom ten weny uwezo mkubw wa kufany professional works,sio hiz siasa uchwara,wng wako IMF,WB,ILO NK
Siku hizi ni tumbo! Zamani Uhayani ilikuwa na aibu kusikia kuwa eti mtoto wako ni Polisi! It was shame, lakini sasa, Mh! polisi ni kazi ya heshima tena ya hela kweli kweli- kila mmoja anaomba mtoto wake awe traffic police!
 
Ninachofahamu mzila kende ni mwiko kwake kugusa huyo nkende, sasa wewe unasema ni rafiki wa kende......kajipange tena
 
Bukoba kuna koo mbili ambao watumia ilo jina la Mzilankende....Abayango na Wahinda[Abahinda ]sasa msukuma mzilankende ni yupo.....okay nchi nyingi zinaongozwa na wasio wazawa labda
Ni kweli wahinda na abayango hatruuhusiwi hata kuoana. Tulipokuwa wadogo tulikuwa tukiambiwa haturuhusiwi kuwaua hao ngendere hata ukikuta amekufa inabidi usimshike, sasa siku moja tulimkimbiza ngendere kutoka kwenye mashmba yetu ya mahindi na kufanikiwa kumkamata kwa kusaidiwa na mbwa. Kesho yake tualiamka huku ngozi zetu za mikono zikiwa zimebabuka.
 
Back
Top Bottom