Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Nafikiri hata Magufuli ni afadhali at least anazungumuza moja ya lugha.
SWALI
Ni watanzania wangapi wanaoweza kuongea lugha zao kifasaha pasipo KUCHANGANYA na KISWAHILI?
Kwani mtu kua kabila flani ni lazma ujue lugha yake ya kikabila....aisee mfano baba na mama ni wahehe lkn tunaishi Bukoba kwa Wahaya na lugha kuu ni kihaya sasa kwakua naongea kihaya vizuri kuliko kihehe basi mimi sio mhehe. ..Stretch your mind mkuu
 
Kwani mtu kua kabila flani ni lazma ujue lugha yake ya kikabila....aisee mfano baba na mama ni wahehe lkn tunaishi Bukoba kwa Wahaya na lugha kuu ni kihaya sasa kwakua naongea kihaya vizuri kuliko kihehe basi mimi sio mhehe. ..Stretch your mind mkuu
Mkuu nime stretch sana ndo maana naongea hivi. AMA ulitaka jibu tofauti ambalo ni predetermined in order to massage your ego?
 
Kwa nijuavyo mim wazilankende sio wahaya ni kabila moja wanaitwa wazinza......na nijuvyo mim asili ya mkuu wa kaya ni mzinza wala co msukuma
 
Aiseee wahaya kama mnamtaka mchukueni tu sie wasukuma hatuna watu wa aina yake wenye kuchomokwa na maneno... wasio wapole wanyenyekevu wenye jazba mi nadhan kwel ni mzilankende mchukueni tu alishatuchosha sie inawezekana aliitwa msukuma ili apat kura za wasukuma... lakin kama mnamchukua ilu muonekane mmetoa raisi na nyie kabilA lenu utakula kwenu kwani atawanyea tu pyaaa hana breki mjomba

Zamani sikujua kama kuna members wa JF wanakula MMEA aka Jani
 
Duuh nilikuwa nawaza kwanini tunashabihiana kwa vingi kumbe tuna share some roots...Haya wee wayango ni ukoo wa kifalme...
Mhhhh!! Sidhani. Mimi najua Basita ndo ukoo wa kifalme hata ukisoma historia itakwambia
 
Issue iwe ni uongozi, kama ni raisi tyr yeye ni raisi. mambo ya ukabila wake haituhusu. sisi tuangalie nchi,uchumi na ustawi wa wananchi upoje. full stop!
 
Udini na Ukabila ni Ugonjwa mbaya sana wa akili kuliko Magonjwa yote.

Ukishaona jamii Inaendekeza sana Udini na Ukabila ujue ina safari ndefu sana ya kufikia Maendeleo.

Tukishajua kabila la Rais wetu itatusaidia nini?.
 
Kujua asili ya mtu sio ukabila, kila mtanzania ana asili yake, ambayo ndiyo kabila. Tusijipofushe.
 
NIMEFURAHI YEYE NI MADE HERE HERE HIVO ATASEMA KWELI NA KUSIMAMIA NCHI YAKE. NAFCO MLIIFAHAMU? KABURI LAKE SI LIPO? SASACSERIKALI INAZALISHA WAPI TENA CHAKULA NAALIYEPEWA JUKUMU KAISHIA? JE NI KWELI HAYO MAMICHANGO YOTE HAYAKUPELEKWA KAGERA HATA NA CHAKULA KAMA MICHELE SUKARI NK? SIO KWELI.
 
Ukwelo wote wa yy ni nani,ataujua mama mzazi wa rais Magufuli.

Kama yupo hai bado,ni wakati wako kisafiri ukabaini ukweli.

So far...binafs sina sababu ya kujua rais magufili ni kwa nadharia ila kwa matendo yake.

Huyu ni mzalendo wa kweli.
 
Hicho Kizinza hata hakijui na mara zote tangu wakati wa Kikwete na kipindi chote cha kampeni alipofika kwenye vijini vya Wazinza wilaya ya Sengerema alikuwa anaongea Kisukuma. Ukweli ni kuwa Magufuli ni Msukuma.
Kabila la Wasukuma ni kubwa na hakuna ambaye ukoo wake haujatokana na kabila jingine. Kuna Wasukuma waliotokea visiwa vya Ukelewe na kwingineko, mfano muna koo za Watimba, hawa wapo Wasukuma, Wajita, Wakerewe nk. Lakini kabila la mtu ni lile alilozaliwa akakuta wazazi wanaliongea.
Wakati wa kampeni alipokuwa Misungwi alisema babu yake aliishi pale mpaka uzee wake. Tusijidanganye, Magufuli ni Msukuma.
Na watu wengi sana wamebadili makabila yao na kuwa Wasukuma kutokana na eidha kuoa Wasukuma au muolewa. Wengi waliooa kwa Wasukuma vizazi vyao vimebadilika na kuwa Wasukuma.
Anajua kizinza vizuri sana. Tatizo ni hujawahi kumsikia wewe. Unajua kwanini amekuwa converted to sukuma, kwa sababu wasukuma muna ukabila sana, so anaogopa kulipoteza kundi kubwa la wasukuma kwenye uchaguzi. Na wasukuma ni wabovu sana mku tayari kumchagua msukuma mwenzenu hata kama ni uwezo wake wa kuongoza ni mdogo. Angalia wabunge wa usukumani hakuna mwenye uwezo hata mmoja anza na Charles Kitwanga, nenda kwa Jacob Dalali (Dashi) na n.k uwezo wao ni mdogo muno na hakuna lolote la kushika walilo lifanya kwenye jimbo lao ila wanapendwa na wanazidi kushinda na usishangae 2020 Kitwanga akashinda tena. Ila tusibishane sana muda ututupa ukweli, na muda huwa haudanganyagi.
 
Heshima kwenu wakuu,

Juzi rais alipotutembelea huku kwetu Kagera, rais Magufuli alijinasibu kwamba yeye ni Muyango yaani "abayango" hujiita Wazilankende. Akadai babu yake alizikwa pale Bukoba mjini Sehemu inaitwa Uswahilini pale karibu na Sanamu la Mayunga. Jina la babu yake limenitoka nikikumbuka ntaedit niweke hapa ila ni kama alisema aliitwa Mzee Mshalila(?).

Huyu mzee Mashalila alizaa watoto watatu, bahati mbaya hawa watoto wapo hadi leo sema akili zao hazipo sawa. Wapo Uswahili pale Bukoba Mjini.

Kwa wasiofahamu sifa ya Wazilankende ngoja nifafanue kidogo. Nkende ni ngedere, sasa hawa wazilankende ni marafiki wa ngedere. Yaani hata akimuona ngedere barabarani inatakiwa awabebe ndizi. Akikuta ngedere amekufa inabidi alie au anaumwa inabidi amtibie. Hao ndo wazilankende.

Hata ukiangalia kwenye hotuba ya Mbunge wa bukoba mjini Mh. Lwakatare wakati anamkaribisha alisema karibu nyumbani Mzilankende "wayanga waija" hatimaye umekuja(kwa tafsiri isiyo sahihi.).

Ndugu zake rais Magufuli waliopo Bukoba ni Oscar Mashalila, Dotto Mashalila watatu nmesahau jina la mtoto wa tatu, sema ni maarufu tu mjini japo hapo sawa.

Huo ulikuwa ni utangulizi. Swali langu ni;

Rais Magufuli ni nani?
1. Mzilankende
2. Msubi,
3. Msukuma
Au Muyango?

Kusema kweli mtakuwa mumenaidia sana.


Angalau sasa ninapata picha kwa mbali kwa nini Wasukuma wanalalamika sana anapojinasibu kwamba ni msukuma. Sasa ukweli umejulikana. MHESHIMIWA RAISI SIYO MSUKUMA. Tunaze kutafuta makabila ya huko Bukoba kama ni Mzilankdende, ama Muyango.

Tusonge mbele, ila uskumani HAPANA. TUWAACHE WASUKUMA WA WATU WASIOKUWA NA MAKUU SALAMA SASA.
 
Anajua kizinza vizuri sana. Tatizo ni hujawahi kumsikia wewe. Unajua kwanini amekuwa converted to sukuma, kwa sababu wasukuma muna ukabila sana, so anaogopa kulipoteza kundi kubwa la wasukuma kwenye uchaguzi. Na wasukuma ni wabovu sana mku tayari kumchagua msukuma mwenzenu hata kama ni uwezo wake wa kuongoza ni mdogo. Angalia wabunge wa usukumani hakuna mwenye uwezo hata mmoja anza na Charles Kitwanga, nenda kwa Jacob Dalali (Dashi) na n.k uwezo wao ni mdogo muno na hakuna lolote la kushika walilo lifanya kwenye jimbo lao ila wanapendwa na wanazidi kushinda na usishangae 2020 Kitwanga akashinda tena. Ila tusibishane sana muda ututupa ukweli, na muda huwa haudanganyagi.

Wasukuma wanglikuwa na ukabila ungehama hii nchi wewe. Acha kabisa habari za kutungatunga hapa. Ukabila wa wasukuma uko wapi?

Wewe hujaona makabila yenye ukabila? Kwa maslahi yako na wasiojua tamaduni za makabila Tanzania, ukikuta kuna mnyakyusa, muhaya, ama m changa kiongozi kwenye kampuni, kampuni hiyo hasa nafasi za juu watajaa wanyakuysa, wachaga ama wahaya hata kama hawana sifa. Wasukuma uliwakuta wanabebana wapi?

Wanglikuwa kama Wachanga, Wanyakyusa na WAhaya, vikakablia vingine hivi vingelikimbia uhamishoni. Acha kuwasingizia.
 
Ukwelo wote wa yy ni nani,ataujua mama mzazi wa rais Magufuli.

Kama yupo hai bado,ni wakati wako kisafiri ukabaini ukweli.

So far...binafs sina sababu ya kujua rais magufili ni kwa nadharia ila kwa matendo yake.

Huyu ni mzalendo wa kweli.
Kawaambie uhamiaji ,vizazi na vifo, tume ya uchaguzi na wengine kwanini hizo details ni muhimu.
 
Back
Top Bottom