Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Duuh nilikuwa nawaza kwanini tunashabihiana kwa vingi kumbe tuna share some roots...Haya wee wayango ni ukoo wa kifalme...
 
Kila mtanzania ana asili yake, Africa huwezi kufuta ethnicity! This is there to stay! Labda kikabila kama cha kwako, lakini usidhani kuna mwaka kabila la wachaga, wanyakyusa, wahaya , wasukuma etc yatatowek na lugha kupotea.
Vikipita vizazi vinne tu makabila yatabaki hadithi na makumbusho.
 
Magufuli ni mtanzania. Najua jambo linalowakera wengi ni HASIRA nk. Na hiyo ndo ni lazima TUMWOMBEE abadilike. AKIWA na UPOLE atafanikiwa sana.
Hapo hakuna mjadala.
Mbwa mzee hafundishiki.
Samaki mkunje angali...
 
Hawa wazilakende wa bukoba wana uhusiano wowote na wazilakende ambao ni moja ya koo ktk kabila la wana Kigoma?

Kama.walivyo waha na wahangaza?
 
Ni Mzinza
Hicho Kizinza hata hakijui na mara zote tangu wakati wa Kikwete na kipindi chote cha kampeni alipofika kwenye vijini vya Wazinza wilaya ya Sengerema alikuwa anaongea Kisukuma. Ukweli ni kuwa Magufuli ni Msukuma.
Kabila la Wasukuma ni kubwa na hakuna ambaye ukoo wake haujatokana na kabila jingine. Kuna Wasukuma waliotokea visiwa vya Ukelewe na kwingineko, mfano muna koo za Watimba, hawa wapo Wasukuma, Wajita, Wakerewe nk. Lakini kabila la mtu ni lile alilozaliwa akakuta wazazi wanaliongea.
Wakati wa kampeni alipokuwa Misungwi alisema babu yake aliishi pale mpaka uzee wake. Tusijidanganye, Magufuli ni Msukuma.
Na watu wengi sana wamebadili makabila yao na kuwa Wasukuma kutokana na eidha kuoa Wasukuma au muolewa. Wengi waliooa kwa Wasukuma vizazi vyao vimebadilika na kuwa Wasukuma.
 
Wewe unataka kabila lake ili iweje wakati yeye ashakwambia ni msukuma na watani zake ni wahehe na wamakonde mbona unataka kumulazimisha awe muhaya wakati si kabila lake hata kama akiwa mhaya wewe utapaata faida gan mkuu

usiaribu makabila ya watu bana
 
Rais magufuru c msukuma ni jamii ya wasukuma wanyatuzu ambao ni jamii ya wasukuma na nijamii ya watu wachache cn ambao wanapatikana cn maeneo ya barihadi hyo ndio kabila yake mnyatuzu
 
Back
Top Bottom