Kweli kaka hata mimi ni mjiji, kilichoongelewa hapo na huyo bwana kuhusu Wajiji Wazilankende kinakua sahihi.Ndio ukoo wangu wa wajiji huo.
Kila mtanzania ana asili yake, Africa huwezi kufuta ethnicity! This is there to stay! Labda kikabila kama cha kwako, lakini usidhani kuna mwaka kabila la wachaga, wanyakyusa, wahaya , wasukuma etc yatatowek na lugha kupotea.Awe nini, sisi haituhusu, si tunajua ni Mtanzania....
hahaha funny.Next time Rais afanyiwe psychiatric evaluation
Tuzubiri waje tusiwe na haraka!! Mambo haya hayahitaji haraka wala hasiraMkuu unahisi hiyo shida ya akili imerithishwa?
Mkuu unahisi hiyo shida ya akili imerithishwa?
Magufuli ni mtanzania. Najua jambo linalowakera wengi ni HASIRA nk. Na hiyo ndo ni lazima TUMWOMBEE abadilike. AKIWA na UPOLE atafanikiwa sana.Mimi binafsi siamini kama huyu jamaa ni mtanzania hasa tabia zake na ni mtu ambaye hana utu, huruma wala kauli nzuri, watanzania kiasili hatuko hivyo hata kidogo huwa tunajaliana sana pale panapokuwa na matatizo hata kama uwezo ni mdogo.... Bil. 17 za rambi rambi tena zilizochangwa na wasamaria wema zitumike kutengeneza miundombinu wakati wananchi hawana pa kulala ni ajabu sana! Mkwere wetu tunamkumbuka sana apart from everything alikuwa na huruma na utu!
u have made my day!!!!!Mkuu unahisi hiyo shida ya akili imerithishwa?
we ni muongo!MwAGUfuli ni mnyakyusa toka mbeya!
maana ya jina hili ni *MWENYE KIBURI*
NENOAwe nini, sisi haituhusu, si tunajua ni Mtanzania....