Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,722
- 114,071
Mkuu Rogojin, mimi sio mkabila kabisa, na kati ya wapiga vita wakuu wa ukabila humu jf, mimi ni miongoni mwao, ila kwa mujibu wa fani yangu ya habari, jukumu letu kuu ni kuusema ukweli daima, nothing but the truth.Huyo jamaa ni mkabila sana. Anataka kutuaminisha yeye ndo mtanzania halisi. Hana hoja zaidi ya kabila la mtu? Hivi anataka kusema anaweza kumbadilisha Rais sababu sio kabila analotaka yeye?
Soma mada zangu kuhusu ukabila
Paskali
- Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye ...
- Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni ...
- Ni kweli kuna makabila yasiyotakiwa kutoa rais wa nchi? | Page 7 ...
- Mkuu wa Mkoa wa Arusha na ukabila; Ukemewe na kila mmoja wetu ...
- Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni ...
- Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni ...
- Urais wa ZZK 2015 Kupitia Chadema: Kwa nini Wanatetemeka ...
- Makabila makubwa vs Makabila madogo | JamiiForums | The Home of ...
- Ni upuuzi kuwagawa watanzania kikanda,kikabila na kidini ...
- Tupende, tusipende: Tanzania inanyemelewa na udini! | Page 42 ...