Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Awe nini, sisi haituhusu, si tunajua ni Mtanzania....
Usiogope kujielimisha. Unaeza kuta ni mnyarwanda kihistoria kutokana na movements za kiukoo au vita za kikabila. Yete anajitambulisha kuwa ni msukuma lajini wamesema jina lake la asili ni Kato ni ni wa Kagera. Learn more!
 
Magufuli HAKUTOKA Rwanda wala nchi nyingine jirani.Alizaliwa, kulelewa na kusoma Tanzania.
UZURI wake ni mmoja Magufuli ana KIPAJI na ni WEPESI kujifunza lugha haraka sana.

Hata mimi mwenyewe naongea lugha NYINGI sana za ndani na nje ya nchi kando ya lugha ya MAMA. Na bado mimi ni Mtanzania.

Pia ni lazima tukumbuke kila kabila zilitoka mahali fulani.WASUKUMA wanaongea ni kama watu wa CONGO na NIGER pamoja na makabila fulani nchini CAMEROON na Afrika ya Kusini.
Je tuwaite si Watanzania?
WAHA wa Kigoma wanaongea kama WARUNDI, Japokuwa kuna utofauti wa maneno na lafudhi kidogo tu.
WAHAYA wa Bukoba wanaongea kama WAGANDA and so on and so forth.

MIAKA mingi iliyopita wakati wa migration/ kuhama hama tukatua Tanzania wengine wakaendelea na safari..
Hivyo sisi wote ni MCHANGANYIKO MAALUMU. None is PURE.

Wasomi wa HISTORIA watakubaliana nami huhusu hili Hivyo kumwita Rais kuwa Si Mtanzania ni ZALAU na kukosa kujua the really ya history yetu Watanzania.
Wewe simtanzania?? sasa "ZALAU" Ni kikabila gani
hapa Tanzania au na wewe walewale??kujipambanua kote umegota hapo??
 
Umenikumbusha koz moja y history chuoni.... Hongera saaana n Kweeeel Ww n mwanahstoria mzur
 
Hoja hii inatija gani kwa taifa. Awe mkenge, mchura au mpimbi inatusaidia nini sisi? kabila la rais sio issue kabisa. Na kwa kuwa ni rais tayari hata uraia wake sio tija tena.
 
Swali la kuuliza kabila tuwaachie wenzetu wa nchi jirani.
Wao hutambuana na kushirikiana KIKABILA.
Heri ungeliuliza ninatoka mkoa gani ingekuwa swali lililo na upole zaidi mkuu.
Sawa Mkuu, nakiri kurekebishwa, unatoka mkoa gani Ndugu!, kwa upolee!
 
Mi mwenyewe ni muyango,nikipata shida wayango wenzangu mtanisaidia?koo zimebaki historia tu.Siku hizi koo zinaoana tofauti na zamani,kusaidiana hakupo tena,imebakia zilipendwa.
 
Huyu hana kabila, wakatinakiwa nkome Geita alisema babu zake wamezikwa hapo na makabuli alituonesha., wakati akiwa Misungwi alisema babu yake alizikwa hapo, Leo yupo Bukoba anasema babu yake amezikwa hapo, nadhani huyu hana kabila.
Hana kabila au hajui kabila lake?
 
Umejichanganya. Ukoo hauwezi kuwa kabila. Kwa hiyo Muyango ni ukoo na Msubi ni kabila. Katika wasubi kuna koo zinazopatikana kote mkoa wa Kagera na Uganda kwa Wanyankole. Mfano Basita, Bayango, Basindi, Bagara, Bahutu, etc. Kumbuka Msubi akiongea Mhaya na Mnyambo watamwelewa. Hii ni pamoja na Wazinza na hata Bakerewe unaelewa lugha yao. Kama labda babu yake alikuja na kufia pale si ajabu labda alikuja kama mpagazi. Kumbuka hawa Wasubi na Wazinza ni jamii ya Watsu au Bahima na si ajabu hata Wahutu kwa hiyo kama alikuja kama mpagazi wa kihutu basi ndo watoto wake wakatawanyikia Biharamulo

Bahima ndio nini hao?
 
Sawa Mkuu, nakiri kurekebishwa, unatoka mkoa gani Ndugu!, kwa upolee!
Nashukuru mkuu. Wote hukosea. Natoka mkoa wa Tanzania ulio na kila commnity.
Shukrani. Najua hukuwa na nia mbaya ili ni kuuliza tu.
Najaribu kuepuka kujibu moja kwa moja ili kuogopa kuwa
PROFILED kwamba Ohooo!!!
Nielewe tu mkuu.
 
Wewe simtanzania?? sasa "ZALAU" Ni kikabila gani
hapa Tanzania au na wewe walewale??kujipambanua kote umegota hapo??
Mkuu, neno "ZALAU ni lugha ya mitaani neno halisi ni DHARAU. Ila ndugu umenipata bado ama vipi?
 
Back
Top Bottom