hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,452
- 6,325
Mchango wa ujenzi wa msikiti ukachangwe kanisani?how!!!!
Sijaelewa....au mleta mada ni typing error?weka nyama kidogo!
Kama ulivyoelewa ndio ilivyokuwa
Mchango wa ujenzi wa msikiti ukachangwe kanisani?how!!!!
Sijaelewa....au mleta mada ni typing error?weka nyama kidogo!
Hili la Kanisa Katoliki Kujenga Msikiti Paroko wangu niandalie maelezo nakuja huko. Mmetufundisha misingi ya Kanisa na kanuni zake lakini hili hamjawahi kutueleza.
Kila Jumapili unatuhubiri ukuu wa Yesu Kristo na kutuhimiza kumfuata. Kesho nitakuwa hapo niandalie majibu.
kama hujaelewa hiyo ukisikia msikiti unajengwa na JKT je? una mawazo mgando au ndio zile siasa za kishamba utaelewa tu. Hiyo ni ishara ya upendo na mshikamano bila kujali imani ya mtu mwingine, ni kitu adimu sana kwa ulimwengu wa leoMchango wa ujenzi wa msikiti ukachangwe kanisani?how!!!!
Sijaelewa....au mleta mada ni typing error?weka nyama kidogo!
Mkapa hakuwachangisha watu kanisani aliwasaidia kupitia mfuko wa Rais.teh.teh.. binafsi pia ilinistua lakini nilivyokuja kuiona nafasi ya rais kama kiongozi wa nchi nikakubali hata hivyo jamaa ni risk taker mkubwa Mkapa alishiriki kujenga msikiti kimyakimya watu wamejua baadaye sana.
Hata ichanganywe vipi, itajitenga tu! Kwanza aloyekwambia tuna shida na huo mskiti nani, tunayo mingi tu na wala haijai!Pesa iliyochangwa tayari imeshaanza kununulia mifuko ya simenti wewe unakuja na sura za Quran!.
Ndio imeisha hiyo.
Tatizo siyo mm mkuu swala n muongozo na kanuni za dini inakataza hyo kitu hvyo kanuni za dini zimekiukwa mkuu waliowekwa madarakani kuusimamia umma wa kiislam wamelifumbia macho hiliTatizo unalo wewe mwenye kujifanya una haki kuliko wengine.
Waliochangishiwa pesa kanisani wameshaanza kuitumia kwa lengo lililokusudiwa wewe humu jukwaani unalalama!.
Kwani kuna dhambi gani kuchangia ujenzi wa msikiti?
Mbona tunakula kitimoto na maulamaa mitaani na hawajakatazwa kuingia ibada zao?
Wewe sio mkazi wa Dodoma na sidhani kama uwepo wako una punguza au kuongeza chochote.Hata ichanganywe vipi, itajitenga tu! Kwanza aloyekwambia tuna shida na huo mskiti nani, tunayo mingi tu na wala haijai!
Wewe unazijua kanuni za dini kuliko mashekhe na ma-alhaj waliopokea hiyo michango!!.Tatizo siyo mm mkuu swala n muongozo na kanuni za dini inakataza hyo kitu hvyo kanuni za dini zimekiukwa mkuu waliowekwa madarakani kuusimamia umma wa kiislam wamelifumbia macho hili
YATUPASA KUPAZA SAUTI KWA VILE HATUNA UWEZO WA KUFIKISHIA KILIO HIKI
HAKI NA BATILI HAVITANGAMANI
Wewe Unaijua misingi ya uislam kuliko Alhaj anayefanya kazi na Rais wa nchi?.
Unaijua misingi kuliko Sheikh Mkuu?.
Kuwa sheikh mkuu hakumpelekei kutofanya makosa au kukengeuka sometimes, hata mtume mwenyewe kuna kipindi alitaka kukengeuka na ndipo ikateremshwa Sura An Nabai, kipindi alipomjia kipofu. Acha pumba!
Tatizo siyo mm mkuu swala n muongozo na kanuni za dini inakataza hyo kitu hvyo kanuni za dini zimekiukwa mkuu waliowekwa madarakani kuusimamia umma wa kiislam wamelifumbia macho hili
YATUPASA KUPAZA SAUTI KWA VILE HATUNA UWEZO WA KUFIKISHIA KILIO HIKI
HAKI NA BATILI HAVITANGAMANI
Msg sent hiyooo?Kuna jamaa yangu Sheikh Kinyungu alisema eti ndani ya Nchi hii, karibia matajiri wote ni waislamu! Sasa inakuwaje hao matajiri wanashindwa kujenga Msikiti!!
Yaani msikiti unajengwa na wakatoliki na ambao ni waumini maarufu duniani kwa kula kitimoto!!
Hii haikubaliki kabisa!
Takbiiiir!!!
Mbona rostam aziz alichangia Hela za kujenga kanisaKwani kuna dhambi gani kuchangia ujenzi wa msikiti?
Mbona tunakula kitimoto na maulamaa mitaani na hawajakatazwa kuingia ibada zao?
Wewe siyo mkatoliki, unababaisha watu humu, mimi ni mkatoliki najua uhusiano wa kanisa na dini ya kiislamu, kwa taarifa yako, mapadre wote wa kikatoliki duniani, hakuna ambaye hajasoma Kuruhani tukufu. Hiyo huwa ni moja ya masomo ambayo padre lazima asome kabla ya kufikia daraja la upadre na ni lazima kufaulu. Hii ni dhahiri kwamba uhusiano wa dini hizi una lengo moja la kumkomboa mwanadamu. Hongera rais Magufuli kwa uamuzi wa uliotukuka.Hili la Kanisa Katoliki Kujenga Msikiti Paroko wangu niandalie maelezo nakuja huko. Mmetufundisha misingi ya Kanisa na kanuni zake lakini hili hamjawahi kutueleza.
Kila Jumapili unatuhubiri ukuu wa Yesu Kristo na kutuhimiza kumfuata. Kesho nitakuwa hapo niandalie majibu.
كلب واحدWewe sio mkazi wa Dodoma na sidhani kama uwepo wako una punguza au kuongeza chochote.