Dkt. Slaa: Nilijiona ndani ya moyo wa Rais Magufuli

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
948
2,857
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
 
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
Jamani kutoka ni kazi,nawaheshimu sana wale walio toka yaani kuuaga umasikini ila salute ka walio toka bila kuwa watumishi serikalini.

Hata ukiongea nao wana akili za ziada

Sasa huyu babu alionekana ametoka alipokuwa karibu na washika nchi ma ziara ya Canada Sweeden leo anakuja na njaa zilezile za akina polepole,

Alikuwa anamsifia mama sasa baada polepole kuipiga vijembe serikali akapata teuzi nae anataka kupita humohumo kapiga U-turn
 
Jamani kutoka ni kazi,nawaheshimu sana wale walio toka yaani kuuaga umasikini ila salute ka walio toka bila kuwa watumishi serikalini hata ukiongea nao wana akili za ziada
Sasa huyu babu alionekana ametoka alipokuwa karibu na washika nchi ma ziara ya Canada Sweeden leo anakuja na njaa zilezile za akina polepole,Alikuwa anamsifia mama sasa baada polepole kuipiga vijembe serikali akapata teuzi nae anataka kupita humohumo kapiga U-turn
Kasema ukweli kwa mama Happ tumepigwa vibaya mno hatuna mkuu hapa
Ni geresha la kikatiba ndio liko kazini
 
"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"
Nyingine zote ni takataka tu; hebu afafanue kuhusu hili hapa.
 
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
Si afe naye,shida nini?
 
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
CHAWA UCHAWAAH!!!
 
Hivi huyu mzee mnafiki Chadema ilimuokota wapi ?
Kwa akili hizo unadhani chadema angepawezaje mpaka leo?

Alafu huyu mzee muongo sana, Magufuri alizuia vitu kupanda bei?

Au kwa sababu yeye alikuwa Canada na mushumbushi wake hajui jinsi vitu vilivyopanda bei?

Sio Magufuri aliyewaambia wakulima mkiona Kuna njaa uzeni mazao kwa bei kubwa mnayotaka.
 
Mi nataka hiyo ya kiongozi wa BOT mwenye wanawake 200.

Daah inachukua zaidi ya miezi 6 kama kila siku utakaa na mmoja.


Na bado ameoa. Hii ni kamba.
 
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
Ukisoma "between the lines" katika kauli alizozitoa Dkt. Slaa utaona kuna shida sehemu fulani. Anatambua fika kabisa kile anachokisema kinakosa uhalisia.

Ijapokuwa anajitahidi kutoa sifa kwa mwendazake, lakini nyuma ya kauli zinaonyesha dalili za upweke, kutengwa, kuathirika na usaliti kwa Mbowe na CDM, ama hata pia kutaka upendeleo au kufikiriwa katika ajira na awamu ya sasa iliyopo madarakani.

This is a perfect quagmire, a fallen man from greater heights.
 
"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"
Aisee...huyu jamaa alikuwa anakula raha au karaha ?.......yaani akiamua kumtembelea mmoja mmoja kwa zamu anatumia takribani miezi 6 mpaka 7 kwa mwaka ili akamilishe mzunguko kisha aanze tena.

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"
Hii biashara haramu inahitaji kujilipua kweli kweli ili kupunguza au kuitokomeza.

Hongera Dr. Slaa kwa kuipamba 'legacy' ya JPM na kuwakumbusha Watz mema ya aliyekuwa Rais wao wa 5.
 
Mi nataka hiyo ya kiongozi wa BOT mwenye wanawake 200.

Daah inachukua zaidi ya miezi 6 kama kila siku utakaa na mmoja.


Na bado ameoa. Hii ni kamba.
Kuna Mtu alikuwa naitwa Rihumba analikuwa na honga gari nyekundu tu. Haha..alikuwa noma . Miaka ya 2006 hadi 2009 hapo.
 
Mi nataka hiyo ya kiongozi wa BOT mwenye wanawake 200.

Daah inachukua zaidi ya miezi 6 kama kila siku utakaa na mmoja.


Na bado ameoa. Hii ni kamba.
huyu alikuwa Liyumba,sina hakika kama Beno alikuwa hivyo. ila Liyumba alikuwa anawala sana mademu
 
Back
Top Bottom