Hiyo red hapo umemaanisha nini?Wadigo wanasema : usinene ukamara....
Sasa huyu mbuni kashabwabwajaaaa, na sasa hana jipya, atuliage tu
Natamani sana kukuona akiwa na kina Lulu, Anti Ezekiel, Masogange, Le Mutuz, nk. Pia natamani kumuona Airport akimsubiri Diamond au Ali Kiba ili akabidhiwe tuzo za MTV. Napenda sana aonekane na bukta yake huku akifanya mazoezi na Serengeti Boyz. Itakuwa raha sana akishirikiana na Jike Shupa au Malkia wa Mipasho. Pia asikose kwenye masebene ya FM Akademia, Kanga Moko na Fiesta!bongo movie
Leo mkurugenzi wa mawasiliano ikulu katika hafla ya kuwaapisha viongozi alimkalibisha mheshimiwa raisi aongee na wananchi lakini raisi akajibu hana la kuongea wakati si kawaida yake na ukiangalia asilimia kubwa ya watu leo wameganda kwenye TV zao wakijua raisi atatoa vijembe kama kawaida yake juu ya matukio yaliyotokea likiwemo la mh Nape Nnauye la kumpiga chini uwazili.
kula sambusa= alimkaribisha
= uwaziri
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Bibie upo?= alimkaribisha
= uwaziri
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Watu wa Kyela msifanye makosa tenaMwakyembe hanaga cha hakuna jinsi kama alieza ikana thesis yake ndo aukatae uwaziri huo.