Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,066
- 18,348
aliyekwambia sifanyi kazi nani? kwani nimekuomba chakula?MMELAZIMISHWA???.....nendeni mkafanye kazi
aliyekwambia sifanyi kazi nani? kwani nimekuomba chakula?MMELAZIMISHWA???.....nendeni mkafanye kazi
Tulia uandike vizuri! unaandika kama umekalia kitu chenye ncha kaliHapana mkuu, tazama youtube rais waj mioyoni ndg mamvi
Mkulu anaogopa sana challenge.kila siku teuzi sijui atarekebisha uchumi lini.....rais gani ukitofautiana tu na mtu kimtazamo una msitepisha down unateua mwingine.
Hamna maendeleo pasipo mawazo tofautitofauti
Naunga mkono hojanamalizaje bando kumuangalia mwakyembe na bwana yule?
Bora niingie you tube nicheki miereka
Kuna raia mna akili sana huku....au uko jiran yangu unaangalia ninachofanya....maana jf huku unaeza kuta jina moja hilo kumbe ni baba yakoMkuu tulikuwa tunawaza kitu kimoja..........
Sasa kilichokumbiza mbio mbio kufungua huu uzi ni nini?namalizaje bando kumuangalia mwakyembe na bwana yule?
Bora niingie you tube nicheki miereka
Alisema mkuu.kila siku teuzi sijui atarekebisha uchumi lini.....rais gani ukitofautiana tu na mtu kimtazamo una msitepisha down unateua mwingine.
Hamna maendeleo pasipo mawazo tofautitofauti
Leo shughuli za IKULU ziko FULL LIVE TBC & AZAM TWO!!!
Fwatilia
usinipangie vocha nilienda kununua mwenyewe na bando nikajiunga mwenyewe wala hakuna mtu aliyenishawishi!Sasa kilichokumbiza mbio mbio kufungua huu uzi ni nini?
WABONGO UNAFIKI UTAWAMALIZA
kila siku teuzi sijui atarekebisha uchumi lini.....rais gani ukitofautiana tu na mtu kimtazamo una msitepisha down unateua mwingine.
Hamna maendeleo pasipo mawazo tofautitofauti