clouds vipi!??Leo shughuli za IKULU ziko FULL LIVE TBC & AZAM TWO!!!
Fwatilia
Halafu hao wengine bado wanakuwa na makaratasi ya reference kuonyesha walikaa na kutafakari wanachokiletahotuba za nape utakuta zina akili kuliko za wengine!hahaha hapo ndio huwa tunaamua kuquestion vyeti.
Nawashangaa, kwanza ile tu kuja ku comment kwenye huu uzi means wanafatilia, tz unafki jadi yetuMMELAZIMISHWA???.....nendeni mkafanye kazi
Yani hii katuni imencheksha sana,namuona bashite mkubwa anavyowatwanga na nyundo hao wapinzani na media!
Habari waungwana, leo Rais John Magufuli anaapisha watu kadhaa na miongoni ni teuzi iliyozua rapsha ya wizara ya habari, sanaa, utamaduni na michezo ambayo ilimuondoa Nape Nnauye kwenye nafasi yake huku timing ikileta mjadala. Nafasi hio inachukuliwa na aliyekuwa waziri wa katiba na sheria, Dkt Harisson Mwakyembe huku Palamaganda Kabudi akiiziba nafasi yake anapotoka.
Pia Leo anaapishwa katibu mkuu wa Ikulu ila kwa sasa wanaoapishwa ni mabalozi mbalimbali wanaowakisha nchi zao.
===========
Habari waungwana, leo Rais John Magufuli anaapisha watu kadhaa na miongoni ni teuzi iliyozua rapsha ya wizara ya habari, sanaa, utamaduni na michezo ambayo ilimuondoa Nape Nnauye kwenye nafasi yake huku timing ikileta mjadala. Nafasi hio inachukuliwa na aliyekuwa waziri wa katiba na sheria, Dkt Harisson Mwakyembe huku Palamaganda Kabudi akiiziba nafasi yake anapotoka.
Pia Leo anaapishwa katibu mkuu wa Ikulu ila kwa sasa wanaoapishwa ni mabalozi mbalimbali wanaowakisha nchi zao.
===========
Hawawezi kukanyaga ikulu hao kwa sasa ?clouds vipi!??