Rais Magufuli awaambia Waandishi wa Habari wawe makini, hawako huru kihivyo...

Kapanik kuona hbr zake tumezipuuza. Na hizi tutazipuuza tu sababh ni ushilawadu na mipasho. Tanzanua imepata rais anayetua kutunga mistari ya taarabu
 
Nitaandika tu nukuu mbili hapa na mtajiongeza wenyewe kwani nimetoka kumnukuu Kiongozi wetu muda mfupi uliopita akiwa anatiririka kama kawaida yake.
  1. " Unakuta Kiongozi huyo huyo anawatuma Watu waende wakaisema na kuiandika vibaya Serikali huku akiwa na yeye pia amesahau kuwa ni sehemu ya Serikali hiyo hiyo ". ( Hii haikuhusu Kamarada Nape? )
  2. " Unakuta Kituo Kimoja cha Television wao kila wakiona Watu wanateseka huko Vijijini na wamebeba mizigo Vichwani basi wao hiyo taarifa itakaa hata dakika 5 mpaka 7 ila za Maendeleo tunayoyafanya wanaipa muda mchache ". ( Hii haikuhusu Mzee Mengi na ITV yako? )
Kazi ipo hakyanani!

Naomba kuwasilisha.
Sasa waweke mazuri yatusaidie nini?
 
Rai alivyokuwa anaongea leo pamoja na kuigusa mitandao ya kijamii amegusia na kauli ya Nape Nnauye ya kuwaambia waandishi waikosoe serikali

Magufuli amesikika akisema 'mtu upo serikalini na unasema waandishi waitukanae tena serikali' dongo ambalo linaonekana kalitupa kwa aliyekuwa waziri wa habari na michezo Nape NNauye ambaye alikuwa akiwaambia waandishi waikosoe serikali na kudai mwanasiasa ni lazima awe na ngozi ngumu katika matukio tofauti.
Pia amesema kuna vituo vya televisheni kinachorusha habari mbaya za wakulima kuandamana na habari nyingine mbaya na kuwaambia wamiliki wa vyombo vya habari hawana uhuru huo

Pia ameshangaa vyombo vya habari na magazeti kuandika habari zenye mrengo hasi akitolea mfano magazetiya jana

 
Yan Magufuli alianza kusema hana cha kuongea akasema waapishwa ndo waseme, lakini mwisho akaishia kuongea kwa dkk. 20 na huku akivitisha vyombo vya habari kwa kureport tukio la Nape na kuacha drama zake bandarini [HASHTAG]#HikiKichwaKibovu[/HASHTAG]
 
Mode sio kila kitu mnaunganisha.
Tukio la kuapisha viongozi linahusu uhapishaji. Onyo la rais kwa media ni something else very serious!. Huwezi kulichanganya na uhapishaji. Hii ni stand alone news
Paskali

Watu wa media msiposimama kidete mtapotea, shujaa wenu Nape ameishatolewa kafara sasa ni wakati wa wana habari kupaza sauti kupinga ukandamizaji huu wa wana habari
 
Back
Top Bottom