Eliah Geofrey Kamwela
Senior Member
- Dec 30, 2018
- 181
- 491
Mheshimiwa Rais yupo sahihi. Hakuna nchi yoyote ambayo utaichafua unavyo taka halafu uwe salama, haipo. Na wasicho jua wengi ni kuwa wanahabari wengi ni agents wa usalama wa mataifa. Hivyo inapo tokea mtu kila anacho andika ni kuichafua nchi, Lazima adhibitiwe. Upo huru kuongea chochote ila baada ya kuongea, kuendelea kwako kuwa huru kutategemea na umeongea nini!