Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa SUMATRA

Rais John Pombe Magufuli, ametengua Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa Maji na Nchi Kavu (SUMATRA), John Ndunguru
Aisee, nini hiki umeandika? usafiri wa maji ukoje huo? Bodi huwa inatenguliwa au inavunjwa?
 
kama abilia walizidi kiwango kinachotakiwa mara tatu zaidi je serikali ilipeka kivuko kingine maana mahitaji yalikuwa makubwa?
 
Huyu wa kwetu utamuona kwenye misiba ya viongozi na watu maarufu tu lakini kwenye misiba ya kitaifa hutamuona, hata misiba ya askari wake anakimbia
 
Ukiwa muoga kaa ofisini
kanuni za usalama sio uoga bali akili.
1537766348326.png
1537766348326.png
 
Hapo anaonekana rais wa marekani Donald Trump akishiriki mwenyewe kumuokoa raia kutoka kwenye dhahama ya mafuriko yaliyo tokea huko Florida.tuwache masihara
Ndio dunia ilivyo kila binaadamu hutamani asicho kuwa nacho kenya na uganda wanamtamani magufuli nanyi mmetamani trump kazi kweli!
 
USA hawawezi kufanya huo mchezo wa kumpeleka Rais na boya la ajabu hivyo hayupo katika mavazi ya uokoaji maana hata yeye hapo anaweza kuomba msaada...Picha imetengenezwa na pia mazingira hayo wanatumia sana chopa maana maji hayana uelekeo sahihi ni ngumu kutumia chombo cha kuelea bila kufunga kamba kwenye mafuriko utaenda na boya lako.
 
atamuweka msukuma au mtu kutoka kanda ya ziwa hiyo nafasi, watu wa kusini na kaskazini hatuna kazi kwenye utawala wake
Hao hao wasukuma ndo hata maarifa hawana na ndo sababu ya tumbuatumbua kila uchao, mwenyekiti board TAMESA msukuma katepweta jana tu pwaa, bado na wasukuma wote alowateua atawamwaga maana hali ya nchi ni tete, asipoacha ukabila na kukubali kushauriwa hatafika popote na watz tutashaa
 
Wamekuja kwa nguvu na vitisho vingi lakini wataishia njiani. Ubaguzi haujawahi kumuacha mtu salama. Tupendane huyu ndiyo wa kwetu huyo wa kwao
Yupi huyo anayejisifu hadharani kuwa yeye ni kichaa na anachagua vichaa wenzake
 
Umesahau ile chai na maaskari shupavu wa barabarani?
Wale maaskari ndo wanakusanya mishahara ya watumishi kupitia zile "faini za lazima"...

Ni bora akae na wale wagonge mvinyo kuliko TRA maana wale hawana sijui cha mnada ndo wapate hela... Wale ni kimashine tu ni mwendo wa kufyatua Z report NUKTA
 
Back
Top Bottom