laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,732
siku Mbowe akitumbuliwa nitafurahi sana
Kwa vyombo vya habari,alafu vyombo hivyo vinafikisha taarifa kwa umma.Kazi ya vyombo vya habari ni kutujulisha taarifa.Mikutano ya hadhara na ziara ndio hutoa taarifa kwa umma moja kwa moja japo baadhi ya wana jamii watapata taarifa kupitia vyombo vya habari kutoka na na sababu za kijiografiaHivi hii inakuwaga ni taarifa kwa vyombo vya habari au kwa umma .?
Makonda hatunbuliwiYa jana hii.
Akiwatungua kina Makonda,Jokate,& kangi na kina Mhagama ndio itakuwa new habari
Ukichaa tu!Rais John Pombe Magufuli, ametengua Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa Maji na Nchi Kavu (SUMATRA), John Ndunguru
fake picha. utaokoa watu na suti, muhanga akidandia tai tu rais kwishneyy
fake picha. utaokoa watu na suti, muhanga akidandia tai tu rais kwishneyy
Umesahau ile chai na maaskari shupavu wa barabarani?Huyo kweli ndiyo Rais wa wanyonge, huyu wa kwetu ni "fake"
Duuuh kwel aisee, huyu wakwetu anajijua yeye ndio wawanyonge , kumbe wanyonge wenyewe wanamuona katili tu
Umesahau ile chai na maaskari shupavu wa barabarani?
Wamekuja kwa nguvu na vitisho vingi lakini wataishia njiani. Ubaguzi haujawahi kumuacha mtu salama. Tupendane huyu ndiyo wa kwetu huyo wa kwao
Rais John Pombe Magufuli, ametengua Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa Maji na Nchi Kavu (SUMATRA), John Ndunguru
Mara nyingine huwa mnaandika kinyesi.Kchaa
Swissme
Wanashindana na TRA kukusanya mapato...Wale wanajitahidi kutupiga faini