SUMATRA haihusiki kabisa hapo. SUMATRA inatekeleza sheria inayoitwa Mechant shipping act sheria haigusi kabisa vyombo vya serikali wala sumatra haina mamlaka juu ya ferries na watumishi wake kwa maana ya taaluma zao. Ferries za serikali zinasiamiwa na sheria nyingine sijui inaitwa nini huko ferries cap 73 sijui nimepatia na waziri mwenye dhamana ndo mwenye mamlaka ya kutunga regualations juu ya usimamizi wa vivuko jambo ambalo sijui kama ameshawahi kufanya hivyo. Kwa hiyo kuwarukia SUMATRA ni sinema zilezile tu za kila sikuHii ngoma Sumatra hawaikwepi lazima wawajibike,
Abiria kupanda chombo cha Majini bila Life Jackets ni uzembe wa hali ya juu.
Ule ndiyo usalama wako ikitokea ajali ya kwenye Maji,vyombo vyote vinavyofanya safari za kwenye maji ni wajibu sasa kuwapatia abiria hizo Life Jackets kabla ya kuanza safari.
Kenya ya chato?Ndio dunia ilivyo kila binaadamu hutamani asicho kuwa nacho kenya na uganda wanamtamani magufuli nanyi mmetamani trump kazi kweli!
Tz ni mwiko kujiudhulu,labda tukifika peponiKwa hiyo na waziri mwenye dhamana naye anasubiri hadi atumbuliwe? Si ajiongeze tu kulinda utu wake.
Mzee baba kama uko sehemu ya kinywaji a giza ntakuja kulipiaMtendaji Kuu wa TEMESA vipi?? Meneja Temesa MWanza vipi? Waziri Wa Miundombinu vipi?? Ushauri Mbunge Ukerewe ulifanyiwa kazi? Kuvunja bodi sio suluhisho!! ...............nunua vivuko vyote acheni kununua wapinzani!
Uongo mtupu, editing za Photoshop hiyo ili kuuza blogHapo anaonekana rais wa marekani Donald Trump akishiriki mwenyewe kumuokoa raia kutoka kwenye dhahama ya mafuriko yaliyo tokea huko Florida.tuwache masihara
View attachment 876006
Uongo mtupu, editing za Photoshop hiyo ili kuuza blog