Saa hao TISS hawa muda wa kufatilia waujumu uchumi kazi yao kuteka watuHata wao wanajua kiama kimefika, lakini kabla yakuondoka watahakikisha wanaizorotesha sana. Kipindi cha TISS kufanya kazi ya kudhibiti uhujumu uchumi kimewadia. Kazi kwao.
bado mkuu hajaridhikaTuliokuwepo tunatosha mkuu
Hivi TTCL hali yao iko vipi??
Mitandao ya simu imefanya pesa nyingi kuzunguka katika simu na kuzorotesha taasisi za benki
Hapana hapana,mumuambiage huku tuko kwa jiwe na jua kalibado mkuu hajaridhika
ngoja nimkumbusheHapana hapana,mumuambiage huku tuko kwa jiwe na jua kali
Hit pointtassisi za kibenk lazima zizorote kwasababu serikali inazichukulia benki za biashara kama adui, pesa zote zimefichwa kwenye kabati la BOT badala la mabenk ya kibiashara.
mitandao ya simu kwa siku mtu hawezi kufanya miamala zaidi ya million 3 as per BOT regulations.
Kimsingi Rais ametangaza kiama kwa watumiaji wa hizo huduma na siyo kwa makampuni.
Siku zote zigo huwa analibeba mlaji wa mwisho ambaye ndio Mtanzania huyu maskini na mnyonge.
Huu ni upashkuna, leta hoja kama GT sio keleleHapa kazi tu.
Magufuli oyeeeeeeeeeeee
Watanzania huwa hata hatujui tunashangilia nini. Huu mwaka wetu!Kimsingi Rais ametangaza kiama kwa watumiaji wa hizo huduma na siyo kwa makampuni.
Siku zote zigo huwa analibeba mlaji wa mwisho ambaye ndio Mtanzania huyu maskini na mnyonge.
Hoja ikitoka humo, basi hata mashimo ya vyoo yanaweza kutoa dhahabuHuu ni upashkuna, leta hoja kama GT sio kelele