kingereza kigumu nyie msifanye masihara!!!
Dah,kiukweli nimemmiss kikwete,I wish angeendelea kutawala hadi leo
Wewebona ushatawaliwa tangu muda na bado unatawaliwa? Maana kila kitu cha nchi yako wamewekeza wazungu,sasa huo nao si ni utumwa? Misaada wanakupa wazungu,hadi bajeti kuna kiasi unawategemea.kwanza kiswahili sahau kuja kuwa lugha ya kimataifaHebu tupende kudumisha lugha yetu bhana.....kwan kuitukuza lugha ya kigen huo ni ukoloni mambo leo tuamke kifikra wana Afrika mashariki, tena ningefurahi sana kama Raisi JPM awepo na azungumze kiswahili kwenye mkutano huo
Au wengine mnakubaliana na usemi wa Trump kwamba tutawaliwe upya maana mnaitukuza sana hii lugha ya kigeni kwa kutokujua huo ni ukoloni
Ntampata wapi mkuuKamuombe arudi
Ntampata wapi mkuu
Alikuwa ni mtu poa sana,hata ngeri alikuwa anapasua sanaKwake
Alikuwa ni mtu poa sana,hata ngeri alikuwa anapasua sana
kile kiswahi kitatafsirika kweli?UN UNARUHUSIWA KUTUMIA LUGHA YOYOTE..HATA KAMA MAGU ATATUMIA KISWAHILI TRANSLATOR MACHINE ZIPO...
SO HAKUNA WASI...
MBONA WARUSI WACHINA ETC WANAONGEA LUGHA ZAO..
OVA
Naomba Mungu asiende asije kutuletea aibu ya kuhutubia Kisukuma huko maana ndo zake!
Utapata kwani mimi nahisi kaka katumia muda huu wa majonzi ya Kagera kufanya rehearsal ya hotuba yake kwenye UN. Watu wanahoji kama ni lazima, mimi nadhani ni wajibu wa wakuu wa nchi kuhudhuria kwani ndicho kikao kikuu cha UN ambacho kila mkuu wa nchi anatoa lake la moyoni na kuelelzea kinachomkera. Kumbuka Mugabe ambavyo kila mwaka hakosi na kila mwaka ndo anapata mwanya wa kuwabeza watawala wa UK na US mpaka mara nyingi nchi nyingi huwa zinatoka. Kumbuka wakati wa Rais wa Venezuela alivyokuwa akitoa vigongo naye. Mwalimu alitumia kikao hiki hiki kwenye Senventees kumtetea China aingie kwenye UN na alikubaliwa at last.Akienda ntaomba ban ya muda
Kiswahili siyo lugha inayotambuliwa kwenye UN hivyo haina wakalimani. Kiingereza, kifaransa, kispanishi, kiarabu, kichina (mandarini) na kirusi basi. Rais ana uwezo wa kuhutubia sababu hotuba yake itaandaliwa na watu wanaoweza kuandika kimombo safi tu.Acha fikra za kitumwa! Hata akihutubia kisandawe sawa tu! Rais wa China huwa anahutubia kwa kiingereza?
Kiswahili siyo lugha inayotambuliwa kwenye UN hivyo haina wakalimani. Kiingereza, kifaransa, kispanishi, kiarabu, kichina (mandarini) na kirusi basi. Rais ana uwezo wa kuhutubia sababu hotuba yake itaandaliwa na watu wanaoweza kuandika kimombo safi tu.
Siyo kuandikwa tu ila inajulikana katika umoja wa mataifa lugha zinazoongeleka na ambazo zina wakalimani. Lugha ya kiswahili ina wazungumzaji wengi lakini karibu wote wanatokea eneo moja ambalo kabla ya hapo lilikuwa na lugha zilizotambulika kama rasimi. Rwanda, Burundi, Congo zote mbili walitumia kifaransa. Kenya, Uganda, Tanganyika, Zanzibar, tulitumia kiingereza kama lugha rasmi na mpaka sasa tunaitumia hivyo hatujajitoshereza kuweza kupigania haki yetu ili kiswahili kiwe lugha ya kutumika UN. Ukiangalia wenzetu Kenya hata kwenye bunge wengi wanatumia kiingereza bado je watawezaje kukitetea kiswahili? Uganda ndo kabisa waganda hawataki hata kukisikia wanadai ni lugha ya watumwa. Ingia kwenye page ya UN unaweza kujua mengi.Kuuliza sio ujinga,
Imeandikwa wapi kuwa kiswahili hakitambuliki huko UN General assembly?
Kwa hiyo Tanzania kinakotokea kiswahili sio nchi huru?
Don't try me [emoji13] [emoji13] [emoji13]Natamani kuona mkwala unapopigwa kwa kizungu(eg mimi huwa sijalibiwi kwa kithungu)
Siyo kuandikwa tu ila inajulikana katika umoja wa mataifa lugha zinazoongeleka na ambazo zina wakalimani. Lugha ya kiswahili ina wazungumzaji wengi lakini karibu wote wanatokea eneo moja ambalo kabla ya hapo lilikuwa na lugha zilizotambulika kama rasimi. Rwanda, Burundi, Congo zote mbili walitumia kifaransa. Kenya, Uganda, Tanganyika, Zanzibar, tulitumia kiingereza kama lugha rasmi na mpaka sasa tunaitumia hivyo hatujajitoshereza kuweza kupigania haki yetu ili kiswahili kiwe lugha ya kutumika UN. Ukiangalia wenzetu Kenya hata kwenye bunge wengi wanatumia kiingereza bado je watawezaje kukitetea kiswahili? Uganda ndo kabisa waganda hawataki hata kukisikia wanadai ni lugha ya watumwa. Ingia kwenye page ya UN unaweza kujua mengi.
Sababu lazima ipatikane maana hakuna namnaaliwahi kusema Rais wa Botswana kuwa UN assembly wanatazama maslahi yao tu. Halafu dk 5 kuongea, nani ataona kuwa umesema point.?? Bora asiende tu