They say change is nevr a easy process. Plan za Magufuli kuifanya TZ iwe self reliant ni jambo zito sana. Ni zito in reliality kwasababu donorz wamekua wanachangia national bajet na projects tofauti za maendeleo kwa asilimia kubwa tu tangia tupate uhuru. Unajua effect yake imekua nini?Tumeamua kurelax, tunajua kama kuna tatizo au gap sehem flan wahisan watatoa pesa, infakt hi imetufanya tufikilie kwamba hz donor fundz ni kama za lazima. Ofkoz, hi misaada inakuja na price,who tod u hawa jamaa wanatoa fundz bila kupata kitu kutoka Tz? Sikilizen wenzangu, hakuna kitu kizuri kama mwisho wa siku kujitegemea. Kuna kipindi kile kijana kamaliza chuo anaanza hustle za kutafuta kaz.kuna kitu kinaboa sana ile kuomba pocket mny ili uzungushe CV zako.lakn once umepata kazi, kitu cha kwanza waga ci nikutafuta kwako? Hata kama iwe rum moja, y koz unataka kua free.Lets SHUT UP, kila mtu apige kazi haswa upande wake, turning thz country kua reliable comes with a price. Wapo watu wengi watakua affected bt that's the price for change. We gotta Thnk Big, we gotta thnk outside the Box. Wananch wengi wana common minds lakn amekuja Raisi na fikra tofauti,lets support him. Mi naona hi kitu kawa revolution.TZ is goin to Make it, with or without Donor Funds Godamn it!!Do u knw why wengi wetu tunaogopa kuachia ajira na kuingia kwenye ujasiriamali? Becoz we FEAR DARING. Tumejaa na UOGA wakupindukia lakn ukweli huo uoga ni nothn but SHETANI.Ths man z DARING. We have to DARE and throw out the FEAR in us. Hatuwezi kutumia our potential wakati kichwani tumejiwekea limit. Guys, nimeacha kazi jana, naingia rasmi ulimwengu wa kijasilia mali. Nafanya fish supply na car importation...Twende Kazi.Lets wake up People and Learn to Create an Independ Life. I,YOU,WE CAN DO THZ.Mungu Awape Nguvu zaku DARE for positive Change.