Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 463
Hili jambo jepesi sana. Akimaliza mapumziko awafuate hukohuko kwao na awapange. Mbona wanasomesheka vizuri tu?
Kweli akili ni nywele.nawewe huoni tutapata wapi?Safi sana, lakini tungependa atupe mchanganuo wapi tutazipata hizi fedha tofauti na kodi pekee,
Anayeizungumzia si nyie bavicha unafikiri kuna mtu ana time.Kitendo cha kuizungumzia sana MCC maana yake ni kwamba ina impact katika hatua za maendeleo yetu. Kama wametunyima hela na tukakaa kimya, hilo lingeashiria tumewapotezea. Kwa sasa naona tumepoteza kitu fulani!
Umeandika mavi.Acha kuweka akili yako makalioni, unajitegemea kwa kutumia nini? tutajie namna ya kujitegea sio manenomaneno tu! kwanza nishati ipi tulionao, umeme wenyewe haueleweki na ule wa vijijini inafika mahala hata taa unashindwa kisa hauna nguvu. madini ndio hayo bado yanapelekwa ulaya..gesi ndo ivyo ilipitishwa kihuni kwa siku moja tena usiku kwa kuwafukuza wabunge wanye macho(upinzani) na sheria mbovu kibao....Ili taifa lijitegemee lilipaswa kwanza kijiandaa kisawasawa 1. barabara za uhakika2. nishati ya uhakika na kudumu,viwanda,kilimo na uzalishaji. tumekalia kusema majipu majipu majipu hii haina faida yoyote..aidha tumebaka demokrasia zenj na bara alafu wenye akili nzuri wametugundua na kutuelekeza mema kwa kutubagua misaada eti tunaminya macho hovyo huku nyuma wanao tuibia japan wametupatia misaada tunachekelea nakujisifia sasa kama kweli dira ni kujitegemea kwann tusiukatae wa japan..mara kwa mara tunakamata wachechi na meno ya tembo alafu eti ndio rafiki zetu !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Inaonekana hatuna dira yoyote!!! binafsi namuunga mkono rais magufl ila namuomba aachane na usanii wa kuendeshwa na ccm..ccm ni chama hatar kipo radhi kuleta mvulugano mkubwa kuliko kushindwa!!
Huo utalii si hao hao wazungu kutoka nchi hizo?Mapato ya bandari kwa mwezi ni pesa ngapi? Makadirio ya mapato ya utalii kwa mwaka ni pesa ngapi? Zinakwendaga hazina hz pesa kweli?? Mapato ya mirabaha migodini ni pesa ngapi kwa mwaka???
Hahaha iyo kali ila tutafika toRoad license kwa watembea kwa miguu yaja
Huko ni kujidanganya na kukata tamaa ya maisha.Bila chi za magharibi hatuwezi kufika popote muulize mzee wa Zimbabwe anaitwa mugabe
simpleYou can stand if you want to stand!
Binadamu tumepewa uwezo kifikra ili kupambana na mazingira hatarishi.
Better to try and fail than never to try at all!
Hii mentality ya kudhani hatuwezi imepandikizwa kielimu katika fikra zetu ili tuwe na inferiority complex.
Nchi zilizoendelea hazikuwa na maliasili, sisi tuna maliasili lakini bado tunadhani hatuwezi.
kwani kuna aliyekuwa anategemea wafadhili zaidi ya CCM? kwa sasa lazima magamba yababuke nyambaf zenuHivi unafikiri toka tupate uhuru mwaka 1961, tulikuwa tunategemea misaada ya MCC? Sasa hamna muda wa kubet, eti MCC watakuletea pesa. Kilichobaki ni kufanya kazi na kujitegemea!
You mean legs ormbona tunaumia sana kunyimwa msaada??? can't we stand by our own hands??????
Mimi siyo mwanasiasa.simple
tendeni haki Zanzibar
futen sheria kandamizi ya Mitandao
otherwise zingine porojo tu
ok, ila mara nyingine inabidi tufikirie utaifa zaidiSas
Sasa kelele za nini si mumuache ashindwe uongozi kwa kukosa hiyo misaada ili tupate kick ya kumuondoa 2020? mbona mnamuonea huruma anayetakiwa kushindwa?
Yupo sawasawa Rais
Lakini hawa walio ishiwa hoja yakupatia Kick wanadhani MCC imewatoa kimasomaso
Poleni sana
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyu kichaa"If Hillary can't satisfied her husband how can she satisfied all Americans " Donald Trump.