Rais Magufuli anasema hivi kuhusu misaada

Rais Magufuli anasema hivi kuhusu misaada

Ndio ujue kuwa watu mara nyingi wanakuchekea wanapoona wewe upo chini, lakini utakapojaribu kunyanyuka ndio utajua anae kuchekea toka rohoni ni nani hasa! Hao mashoga wameona jinsi magu alivyoimpact akili za watu duniani, kiasi cha kuelekea nchi za mbali kama nigeria kujifunza kwetu! Wanajua impact yake kwa makampuni yao ya kitapeli na kibepari yanayovuna utajiri africa na kupeleka ukaliwe ulaya na marekani na watoto wao wakati watoto wa africa wanakufa njaa! Wanajua idea za magu zingebadilisha upepo sana, kwa hiyo wanatafuta kila upenyo wa kuzifuta na kuzidhalilisha, tukiweza kushindana na hili wanalolifanya bila kurudi nyuma, kama alivyofanya mugabe, ndio tutakuwa tumeshinda kweli, waacheni waende mashoga hao, tubaki na utajiri wetu, tutaishi bila wao, pumbavu hao!
 
kwani kuna aliyekuwa anategemea wafadhili zaidi ya CCM? kwa sasa lazima magamba yababuke nyambaf zenu
We mpumbavu na lofa kama alivyosema Mkapa! Unafikiri wanaofaidika au kuumia na misaada ni CCM? Hata UKAWA mtaisoma namba!
 
Si mlituzurumuu haya sasa mmepata wababe wenzenuu hatuandamani wala hatufanyi fyokofyokooo haya sasa kuchele, mang'ana gasarikire, Oyaore, yego mwamba, saitaa, uleliaaniii,
 
Jamani tumuhurumie raisi wetu, hapo alipo ana mawazo, MCC wamekata mirija, Nchi 10 kati ya 14 zinazochangia budget wamesepa,Bandarini kumezorota, Wafanyabiashara hawaagizi kama kawaida, mapato ya ndani yanaendelea kupungua, kila kinachokusanya kinatumika, Mataifa rafiki hayamuelewi! walimu 50,000 wanatakiwa kuajiriwa, bado pesa za elimu bure ni janga jengine, hata za Mock hamna! nadhani anafikiria kuirudisha kodi ya kichwa sasa
Hili la nchi kumi kusitisha misaada ni uzushi na uongo! Hszijatangazwa popote!
 
Haya,tunajitegemea!cha msingi mishahara iendelee kufika kwa wakati,walimu waliomaliza toka mwaka jana wapatiwe ajira,maness pia toka mwaka jana post hazijatoka,bei ya bidhaa kama sukari ishuke,hapa kazi tu.
Madenti achaneni na mawazo ya kuajiriwa!
 
Makufuli anatuchanganya .huku anafuraia misaada kutoka china huku anatuambia tusifuraie misaada, kwa nini anakuwa na ndimi mbili?wenye busara tutamuelewa kama akisema tuachane na misaada kabisa
 
Si mlituzurumuu haya sasa mmepata wababe wenzenuu hatuandamani wala hatufanyi fyokofyokooo haya sasa kuchele, mang'ana gasarikire, Oyaore, yego mwamba, saitaa, uleliaaniii, mwangaruka hulimolaa, ni ilee ileee ni ile ileeeeeeeeeee
 
Hapo najua anawaza tu kichwani mwake ningejuaga nisichukue form ya uraisi leo ningekuwa waziri tu maisha yanaendelea, uongozi ni mzigo tena kama hujajipanga ni tabu tupu miezi sita tu mzee kaomba likizo kaenda Chato magu komaa babaaaa

Mzee kaenda CHATO kaenda kujifungia anaisoma ripoti ya CAG subiri akitoka huko
 
Mzee kaenda CHATO kaenda kujifungia anaisoma ripoti ya CAG subiri akitoka huko
Hahahahahahaha ripoti ya CAG hapa haifui dafu inatakiwa ifanyike immediate measures to overcome this issue ila nayeye aache dharau sasa hivi ile hafla ya mabalozi alimwakilisha mahiga? Na siku wasanii wameenda ikulu yeye na makamu wake plus waziri mkuj walikuwepo diplomatically ile ni dharau kwa mabalozi hawa
 
We mpumbavu na lofa kama alivyosema Mkapa! Unafikiri wanaofaidika au kuumia na misaada ni CCM? Hata UKAWA mtaisoma namba!
wewe na mkapa wako ndo vihiyo kweli, ye mwenyewe alienda State kuomba msaada akakaguliwa na mbwa leo unaongea nini?

Kiufupi huu ni mwanzo tu, mtajua maana ya kuimarisha demokrasia na kuheshimu mawazo ya wengi.

#teamMCC
 
Hahahahahahaha ripoti ya CAG hapa haifui dafu inatakiwa ifanyike immediate measures to overcome this issue ila nayeye aache dharau sasa hivi ile hafla ya mabalozi alimwakilisha mahiga? Na siku wasanii wameenda ikulu yeye na makamu wake plus waziri mkuj walikuwepo diplomatically ile ni dharau kwa mabalozi hawa
yes point
 
Kufuatia Kujiondoa kwa baadhi ya nchi Wahisani ktk kuisadia nchi yetu,nina wasi wasi sana kama Mwaka huu Serikali itaweza kweli kununua Mahindi ya Wakulima.Maana inawezekana Pesa iliyotakiwa inunue Mahindi ikapelekwa kwenye sehemu ambazo zilitegemea pesa za wahisani.Au wadau mnaonaje??.
 
Hahahahahahaha ripoti ya CAG hapa haifui dafu inatakiwa ifanyike immediate measures to overcome this issue ila nayeye aache dharau sasa hivi ile hafla ya mabalozi alimwakilisha mahiga? Na siku wasanii wameenda ikulu yeye na makamu wake plus waziri mkuj walikuwepo diplomatically ile ni dharau kwa mabalozi hawa

Report ya CAG inaonyesha kuna upotevu wa fedha kizembe zaidi ya trillion 2 hao MCC wamekomaa na trilion 1. bora lipi hapo kupiga magoti hela za kuomba au kukomaa na hela unazoibiwa?
 
Mapato ya bandari kwa mwezi ni pesa ngapi? Makadirio ya mapato ya utalii kwa mwaka ni pesa ngapi? Zinakwendaga hazina hz pesa kweli?? Mapato ya mirabaha migodini ni pesa ngapi kwa mwaka???
Wakipiga marufuku watu wao wasije tutafanyaje? vyanzo vyote ulivyovionyesha vinathibitisha kuwa tunawahitaji wengine katika maendeleo yetu. Hoja ya kujitegeme ije kwa kuakisi demokrasia na haki za binadamu sio kuvizima vitu hivyo.
 
WATANZANIAniwaombe mjue omba omba ina asili yake, watu nwa bara ni tofauti na sisi wagogo, na wakwere, wabara wapo tayari kufunga mkanda na kulala njaa, ila mkwere na mgogo, mimi nakumbuka wakti nikiwa chuo nimgegeda dada wa kigogo kisa Buku moja baada kukosa Bumu kwa kipindi cha miezi minne tu. misaaaaaaaada hatutaki sasa si wamekata, nasi tunaenda kupitia mikataba ya ovyo waliyoingia na wakina karamagi enzi hizo na kuifumua,warudi kwao, wazungu kibao wanalima bamia sasa tunawarudisha kwao
 
Back
Top Bottom