with poor technology we cant move on, soko letu la mazao nje tunawategemea hao wazungukasema tuchape kazi kwa bidii sana
ile miaka watu wengi walikuwa wanakimbilia mtoni au ziwani kukwepa kodiUmenikumbusha 1980s, ukishindwa kulipa kodi, unapakiwa kwenye lorry la Halmashauri (Isuzu long base Mbaura) unasafirishwa umbali wa 60 Kms unashushwa ujijue namna utakavyorudi kwenu kwa miguu maana umeshindwa kulipa kodi je nauli utakuwa nayo huku miguu ipo hoi kwa kupigwa na virungu vya mgambo
kusudi haiambiwi pole, hamuwezi kutuvika joho la uzalendo kwa ujinga wa watu wachacheHalafu mtu anakuja anasema na bado, wengine wazuie misaada yao kwa TZ hivi ana akili huyu? Kumbe mafanikio ya nchi ni ya Magufuli tu? Hovyo kabisa....sikuamini kumuangalia akiongea....
Huko ni kujidanganya na kukata tamaa ya maisha.
hahahaaaaaaa tabu kweli kwelikwani kuna aliyekuwa anategemea wafadhili zaidi ya CCM? kwa sasa lazima magamba yababuke nyambaf zenu
Hapa kazi tuuuuuuuuuu.Kufatia kwa wahisani kuendelea kujitoa kuifadhili bajeti ya selikali ya Tanzania... Selikali itabidi ielekeze nguvu kubwa ya kukusanya kodi na mapato kutoka katika vyanzo vya ndani ya nchi!!? Hivyo basi ni ukweli usiopingika bei ya bidhaa za ndani ya nchi itapanda baada ya ongezeko la kodi!!!!
![]()
Maoni yangu
Mtanzania ujipange sana hasa kwa kutumia bidhaa ambazo zitakuwa hazijapitia sokoni!!!!!
Kama ulikuwa umepanda maua nyumbani , ung'oe uanze kupanda mchicha na spinachi!!!!
Hahahaha"Wale wanaojitokeza kutupa misaada, nataka niwahakikishie ile misaada ni ya masharti. Unaweza ukapewa masharti kwamba usikohoe na kikohozi kinakujaga tu. Kwa hiyo ni lazima watanzania tujisimamie sisi wenyewe. Na tukisimama sisi wenyewe, Tanzania hii tutavuka. Tanzania hii tuna kila kitu, Tanzania ni matajiri lakini utajiri tumeukalia"
Kwa nini hatuongelei sababu za misaada kusitishwa? Bila kujadili chanzo cha tatizo tunapiga porojo tu.Tatizo la watanzania wengi tunawaza kitumwatumwa, watu wanadai tutaishije bila msaada, huo ni utumwa
Sas
Sasa kelele za nini si mumuache ashindwe uongozi kwa kukosa hiyo misaada ili tupate kick ya kumuondoa 2020? mbona mnamuonea huruma anayetakiwa kushindwa?
hawataki hiyo kitu kabisa wao ni kutuvika uzalendo bandia tuKwa nini hatuongelei sababu za misaada kusitishwa? Bila kujadili chanzo cha tatizo tunapiga porojo tu.
We mpuuzi kweli sijui kama unajua unaloongea, akili yako ipo kisiasa zaidi. Unafikiria karibu sana. Unaongea nonsense confidently. [emoji57]Ni aibu sana kwa Watanzania kulilia trilioni moja iliyokuja juzi juzi tu! Hivi kabla ya MCC Tanzania ilikuwa haiendi? Acheni upuuzi nyie mnaodhani bila misaada yenye masharti ya kipumbavu nchi haitakwenda! Asilimia 80 ya Watanzania ni akina sie tuliozoea hali ngumu pamoja na hiyo MCC kuwepo tangu 2008. Tumsaidie Rais Magufuli kuwaambia hao wazungu to go to hell with their money!!