Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,472
Hii hali ya maamuzi mengi tena mengine madogo madogo kufanywa na rais inaonyesha nchi iko kwenye hali mbaya sana. Rais amekuwa ndiye Katiba na sheria za nchi. Kwa nini nchi imeingia kwenye mtego mbaya namna hii? Kila kitu anaangaliwa rais. Hivi hata yeye haoni kuwa ni tatizo kubwa sana? Tumepata hasara kubwa sana.
Huu ni ushahidi kuwa utawala wa sheria nchi hii hauna maana yoyote.