Mkuu, umeshawahi kuona Meneja wa Mkoa Tanroads asiye Mhandisi wa Ujenzi/Barabara? Unahisi ni kwa nini?Watanzania bwana. Burudani sana. Yaani mtu hata hajaanza kufanya kazi wameshaanza kumkatisha tamaa.
Kuna kazi lazima boss awe na taaluma inayoendana na kazi husika.
Kadri ya resume iliyoko humu JF,huyo CEO mpya wa TTCL inaonekana yuko vizuri kwenye mambo ya Banking, Mambo ya fedha na Uchumi.
Alitosha sana kuwa sehemu kama BOT, TRA, nk.