Rais Magufuli amteua Ndg. Waziri Kindamba kuwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL

Bukyanagandi Nakukubalia 100%

Hapa mheshimiwa na huu uteuzi ni swala l amuda tu kuona uchemfu uliopitiliza kwenye hili. Huwezi kumpeleka branch manager wa benki ya kawaida kama DTB kuwa kiongozi mkuu wa shirika kuu la simu la nchi. Hii si kitu sahihi katika level zote. Ni kama vile wanaomshauri mheshimiwa wanahakikisha akitaka kijana ateuliwe basi aletwe kijana ambaye hana vigezo timilifu kuliko wote ndio achukue nafasi. Ilimradi tu akishindwa waseme si unaona vijana hawafai. Kuna tatizo sehemu, ama kwenye chain ya washauri wa kiongozi wetu au kwenye upande unaopokea ushauri.

Ukitaka kujua umefanya uchaguzi mmbovu ni pale hata adui(competitor) wako anaposhukuru wewe kufanya huo uchaguzi!! Hivi huyu bwana aliyeteuliwa, kampuni gani ya telecoms Tanzania ingeweza kumuajiri kwa wadhifa huo?kwa nini mkuu analeta D team akitegemea A results? je hii ni kutokana na ile limit ya mishahara kuishia 15M kwa hiyo tumebakia kuchagua magalasa tu? Sitaki kusema kuwa aliyechaguliwa hana uwezo, lakini sitaki kuamini kuwa hiyo nafasi ni chaguo sahihi. Huyu bwana ana experience sifuri kwenye sekta ya mawasiliano. Hili litakuwa tatizo kubwa sana kwake. Sekta ya mawasiliano ni sekta inayohitaji ujuzi au uzoefu. kama huna vyoyotw kati ya hivyo viwili HUFAI. hakuna haja ya kuremba maneno. Huyu bwana angekuwa amefanya kazi ndani ya telco kwa angalau miaka mitano ningeweza sema ukosefu wake wa ujuzi unaweza funikwa na uzoefu.

Hoja ya kuishi nje, mtaharibia wanaoishi nje sasa!sio kila anayekaa pembeni ya mahakama anajua sharia. na vivyohivyo si kila anayeishi Ulaya anajua mbichi na mbivu kuhusu uongozi wa sekta nyeti kama ya mawasiliano.

Kwa hili tumefanya kosa kubwa sana.

Kuna haja sasa Nguvu za raisi zikapunguzwa ili aache kuteua watendaji lukuki, na hilo liachwe kwa nguvu za soko la ajira kuamua.
Just kill yourself.

Mbona hamkulalamika kuhusu mawaziri kutofanyiwa confirmation live on TV???
 
Huyo Kindamba ana CV nzuri , lkn najiuliza, ameteuliwa kwa kigezo gani maana naye ni kada mzuri wa Chama, na hizi siasa zetu ndio zimetufikisha hapa leo kama Taifa.

Vb
 
Huyo Kindamba ana CV nzuri , lkn najiuliza, ameteuliwa kwa kigezo gani maana naye ni kada mzuri wa Chama, na hizi siasa zetu ndio zimetufikisha hapa leo kama Taifa.

Vb

Ana CV nzuri with relative to what?hiyo CV hakuna HR wa kampuni ya telco TZ au duniani kote wanaoweza kuitazama mara mbili kwa kazi hata ya zonal manager tu,achilia mbali mkurugenzi.Sembuse mkurugenzi mkuu?!

Branch unaongoza watu 10-20 tops. Hii ni tumu ndogo sana,isiyo na maamuzi yoyote makubwa mengi ninroutine tu. Kwenye bank maamuzi makubwa hufanya HQ.sasa huyu hata senior managers wa DTB hayupo.leo hii umpeleke kuwa kiongozi wa shirika kubwa kama TTCL?

Ndio maana nilisema aliempendekeza ana nia ovu na vijana,kwani ni kama wanateuliwa kwa kukomolewa.kuna vijana wemgi tu kwenye makampuni ya private ya telcos,kwenye nyanja za uhasibu,fedha,sheria na uongozi kwa ujumla.hawa wangekuwa better fit.

Kama nia yake ilikuwa kuteua banker kuongoza TTCL angeteua seasoned bankers with track record of deliverables za kueleweka from senior bankers wa banks zetu,the likes of Kimei,etc.

Ndio maana nimesema huyu bwana hii kazi ingekuwa ya interview,hata preliminary interview asingeitwa!!
 
Ana CV nzuri with relative to what?hiyo CV hakuna HR wa kampuni ya telco TZ au duniani kote wanaoweza kuitazama mara mbili kwa kazi hata ya zonal manager tu,achilia mbali mkurugenzi.Sembuse mkurugenzi mkuu?!

Branch unaongoza watu 10-20 tops. Hii ni tumu ndogo sana,isiyo na maamuzi yoyote makubwa mengi ninroutine tu. Kwenye bank maamuzi makubwa hufanya HQ.sasa huyu hata senior managers wa DTB hayupo.leo hii umpeleke kuwa kiongozi wa shirika kubwa kama TTCL?

Ndio maana nilisema aliempendekeza ana nia ovu na vijana,kwani ni kama wanateuliwa kwa kukomolewa.kuna vijana wemgi tu kwenye makampuni ya private ya telcos,kwenye nyanja za uhasibu,fedha,sheria na uongozi kwa ujumla.hawa wangekuwa better fit.

Kama nia yake ilikuwa kuteua banker kuongoza TTCL angeteua seasoned bankers with track record of deliverables za kueleweka from senior bankers wa banks zetu,the likes of Kimei,etc.

Ndio maana nimesema huyu bwana hii kazi ingekuwa ya interview,hata preliminary interview asingeitwa!!
Mkuu, hoja yako ni nzuri sana, lkn kwa exposure na elimu aliyonayo anaweza kufanya vema, tatizo kubwa ninaloona hapa kwetu ni siasa kutamalaki kila mahali na kwa kuwa Ag CEO Kindamba ni kada wa CCM, huenda hicho ndio kigezo cha muhimu zaidi. Tena sioni nna ambavyo anaweza kujitenga na siasa na ku-compromise na itikadi za Chama.

Vv
 
Mkuu, hoja yako ni nzuri sana, lkn kwa exposure na elimu aliyonayo anaweza kufanya vema, tatizo kubwa ninaloona hapa kwetu ni siasa kutamalaki kila mahali na kwa kuwa Ag CEO Kindamba ni kada wa CCM, huenda hicho ndio kigezo cha muhimu zaidi. Tena sioni nna ambavyo anaweza kujitenga na siasa na ku-compromise na itikadi za Chama.

Vv

Atahitaji muda wa kutosha kuji-aclimatize.kuzoea kufanya maamuzi yanayo-affect maelfu ya watu na sio makumi aliozoea kuwaamulia. Hivi vitu hana na worse hana muda wa kutosha kujifunza.
Huyu angefaa kuwa zonal manager wa ttcl kinondoni(100+ employees) sio MD wa TTCL tanzania nzima.

Kwenye telco mwaka mmoja wasted ni muda mrefu mno!kwa sababu tech inabadilika kwa kasi sana.waulize nokia waliovuta miguu iPhone ilipoanzishwa wako wapi sasa.

Huyu hafai hata telco yenye mafanikio kama tigo sasa anafaa vipi telco iliyo taabani kama TTCL??

Tuacheni masihara jamani.

Kama ulivyosema,inaonekana Ikulu kuna CV za makada wa CCM peke yake.na kama alivyosema mkuu ili uteuliwe lazima uwe kada sishangai kufikia hatua hii. Ni mwendelezo wa aina hii tutabaki nyuma kila siku.

Amini usiamini leo ni siku nzuri mno kwa telco binafsi tanzania. Maana hata harufu ya hofu ya ttcl kuwa mshindani sasa hakuna tena.
 
Kama waziri kindamba ni Muislamu then hapo kuna problem

Hata angekuwa na PhD in the eyes of some here hafai

Tatizo lake huyu ni DINI yake hakuna cha zaidi.
 
Atahitaji muda wa kutosha kuji-aclimatize.kuzoea kufanya maamuzi yanayo-affect maelfu ya watu na sio makumi aliozoea kuwaamulia. Hivi vitu hana na worse hana muda wa kutosha kujifunza.
Huyu angefaa kuwa zonal manager wa ttcl kinondoni(100+ employees) sio MD wa TTCL tanzania nzima.

Kwenye telco mwaka mmoja wasted ni muda mrefu mno!kwa sababu tech inabadilika kwa kasi sana.waulize nokia waliovuta miguu iPhone ilipoanzishwa wako wapi sasa.

Huyu hafai hata telco yenye mafanikio kama tigo sasa anafaa vipi telco iliyo taabani kama TTCL??

Tuacheni masihara jamani.

Kama ulivyosema,inaonekana Ikulu kuna CV za makada wa CCM peke yake.na kama alivyosema mkuu ili uteuliwe lazima uwe kada sishangai kufikia hatua hii. Ni mwendelezo wa aina hii tutabaki nyuma kila siku.

Amini usiamini leo ni siku nzuri mno kwa telco binafsi tanzania. Maana hata harufu ya hofu ya ttcl kuwa mshindani sasa hakuna tena.
Tatizo lake kubwa huyu ni MUISLAM

Ukweli ndio huo
 
Unataka kutuambia pale hakuna wataalam kabisa. Shirika linatakiwa liendeshwe sasa kibiashara. Kazi ya utaalam wapo wataalam wengi pale. huyu bwana naona amebobea kwenye biashara na ataweza nadhani

Haya mambo ya kutaka kuzuga watu siyo mazuri, biashara gani ya maana inayo fanyika pale TTCL?

Ndiyo kwanza wanafunga mitambo mipya ya network ya LTE kwa ajili ya voice na data in other words kuipatia uhai tena Shirika la UMMA lenye umuhimi wa pekee nchini kiusalama na mambo mengine - Project nzima awaja i roll out, kwa nini walazimishe kumpa post mtu ambaye masuala yote yanayo husu ufungaji na kumaneji masuala ya Mawasiliano changa moto hizo kwake sounds Greek to him, hana uzoefu hata wa chembe kwenye teknolojia hii, kama ana experience labda ya kuona Jengo lefu la British Telcoms lililo fungwa madish pale mjini London basi!!

Kazi za fani yake mbona ziko nyingi tu nchini mfano: BOT, NBC, na mashirika mengine ya fedha, simsemi vibaya lakini ni vizuri vile vile kuwa makini - post hii sensitive kwa nini hawaitishi interview - mnakwenda kumkabidhi mtu tu such a mission critical Parastatal hoping everything is gona be alright - don't worry - maajabu haya yapo Tanzania tu nakwambia.
 
Haya mambo ya kutaka kuzuga watu siyo mazuri, biashara gani ya maana inayo fanyika pale TTCL?

Ndiyo kwanza wanafunga mitambo mipya ya network ya LTE kwa ajili ya voice na data in other words kuipatia uhai tena Shirika la UMMA lenye umuhimi wa pekee nchini kiusalama na mambo mengine - Project nzima awaja i roll out, kwa nini walazimishe kumpa post mtu ambaye masuala yote yanayo husu ufungaji na kumaneji masuala ya Mawasiliano changa moto hizo kwake sounds Greek to him, hana uzoefu hata wa chembe kwenye teknolojia hii, kama ana experience labda ya kuona Jengo lefu la British Telcoms lililo fungwa madish pale mjini London basi!!

Kazi za fani yake mbona ziko nyingi tu nchini mfano: BOT, NBC, na mashirika mengine ya fedha, simsemi vibaya lakini ni vizuri vile vile kuwa makini - post hii sensitive kwa nini hawaitishi interview - mnakwenda kumkabidhi mtu tu such a mission critical Parastatal hoping everything is gona be alright - don't worry - maajabu haya yapo Tanzania tu nakwambia.
Kwa hiyo ungependa post kama hii apatikane fundi mtaalam aliyebobea ili aweze saidiana na mafundi wa pale na kuwafundisha namna ya kufunga mitambo na technolojia mpya. Ok.basi sawa. Na masuala ya mipango ya business itafanywa na waziri husika labda. Au siyo
 
Kwa hiyo ungependa post kama hii apatikane fundi mtaalam aliyebobea ili aweze saidiana na mafundi wa pale na kuwafundisha namna ya kufunga mitambo na technolojia mpya. Ok.basi sawa. Na masuala ya mipango ya business itafanywa na waziri husika labda. Au siyo
Sio kila executive wa tigo au vodacom ni mafundi!kuna risk managers,lawyers,project managers,accountants,actuarials,marketers etc. Yoyote ambaye ni senior kwenye kampuni inayohusiana na telco ana uzoefu wa kutosha kujua kinachoendelea sio laizma awe fundi!!

Huyu bwana hana hizo sifa kwa sababu hajawahi fanya kazi kwenye telco yoyote katika nafasi yoyote!hivyo hana uzoefu wa abc za telcos. Ukija kwenye uzoefu wa uongozi kama uongozi bila kujali field,pia hama.kwani branch manager wa C level bank kama DTB ni mtu junior sana kwenye uongozi. Huyu uamuzi mkubwa anaofanya kila siku ni nani apewe mkopo nani asipewe,tena kwa kiwango flani. Ikitokea issue kubwa anaforward HQ ambako ndiko viongoi hasa wanatoa maamuzi.

Kwa maana nyepesi hajawahi tengeneza stratergy ya organization kama yeye,na hajawahi kuiongoza hiyo stratergy.hakuwa na usenior huo.sasa atawezaje kwenda TTCL na kuleta vitu vipya wakati hajawahi kufanya vitu kwa level hiyo?

Kama umeshawahi ongoza watu 20 na watu 100 utagundua tofauti kubwa ya mahitaji ya kiuongozi katika level hizo.sasa unamtoaje mtu wa 20 kwenda kuongoza mamia/maelfu?

Lets be serious.hivi kweli ukichukua top 50 bankers tanzania huyu mteuliwa yupo??

Ukijibu hilo swali utagundua jinsi gani kuna tatizo kwenye uteuzi wa viongozi tanzania
 
Kwa hiyo ungependa post kama hii apatikane fundi mtaalam aliyebobea ili aweze saidiana na mafundi wa pale na kuwafundisha namna ya kufunga mitambo na technolojia mpya. Ok.basi sawa. Na masuala ya mipango ya business itafanywa na waziri husika labda. Au siyo

Sio kila executive wa tigo au vodacom ni mafundi!kuna risk managers,lawyers,project managers,accountants,actuarials,marketers etc. Yoyote ambaye ni senior kwenye kampuni inayohusiana na telco ana uzoefu wa kutosha kujua kinachoendelea sio laizma awe fundi!!

Huyu bwana hana hizo sifa kwa sababu hajawahi fanya kazi kwenye telco yoyote katika nafasi yoyote!hivyo hana uzoefu wa abc za telcos. Ukija kwenye uzoefu wa uongozi kama uongozi bila kujali field,pia hama.kwani branch manager wa C level bank kama DTB ni mtu junior sana kwenye uongozi. Huyu uamuzi mkubwa anaofanya kila siku ni nani apewe mkopo nani asipewe,tena kwa kiwango flani. Ikitokea issue kubwa anaforward HQ ambako ndiko viongoi hasa wanatoa maamuzi.

Kwa maana nyepesi hajawahi tengeneza stratergy ya organization kama yeye,na hajawahi kuiongoza hiyo stratergy.hakuwa na usenior huo.sasa atawezaje kwenda TTCL na kuleta vitu vipya wakati hajawahi kufanya vitu kwa level hiyo?

Kama umeshawahi ongoza watu 20 na watu 100 utagundua tofauti kubwa ya mahitaji ya kiuongozi katika level hizo.sasa unamtoaje mtu wa 20 kwenda kuongoza mamia/maelfu?

Lets be serious.hivi kweli ukichukua top 50 bankers tanzania huyu mteuliwa yupo??

Ukijibu hilo swali utagundua jinsi gani kuna tatizo kwenye uteuzi wa viongozi tanzania

SUPER.
 
Halafu ni hivi.
Kaimu kwenye utumishi Wa umma anatakiwa alipwe kama ifuatavyo.
1. Kama mshahara anaopata kwenye cheo ambacho ametoka kabla ya kuteuliwa ni Mkubwa kulipo cheo alichoteuliwakukaimu, atastahili kulipwa tofauti ya mshahara kati ya vyeo hivyo, logic ikiwa kwamba huko anapotoka wanatakiwa waendelee kumlipa
mshahara wake.
2. Kama mshahara Wa cheo alichoteuliwa kukaimu ni mdogo kulipo cheo alichokuwa nacho kiutaratibu atastahili kulipwa mshahara Wa cheo cha zamani,ambao ni mkubwa na kwamba mwajiri wake Wa zamani aendelee kumlipa kwani mshahara huo upo kwenye bajeti yake.
Kimsingi ni changamoto sana kumtoa mtu private sector na kumleta serikalini kuwa kaimu.labda tuendelee kuona sheria,taratibu na kanuni za utumishi wa umma ,zinavyosiginwa na kuvunjwa kwa maslai ya ukada (uccm)
 
Kwa uteuzi huu; hakuna maajabu. Maandishi yako ukutani - Katika mambo yaliyoshangaza sana sana sana, ni uteuzi huu!! Hopefuly wata reverse baada ya muda si mrefu, lakini, Mashirika ya umma kwa Tanzania hakuna hakuna namna .... "No chance" at all!
 
Mkuu unapoijadili TTCL hasa ilivyo sasa, busara itangulie mbele zaidi na jiepushe na kulaumu mtu. Huenda hiyo TTCL unayoiona imechoka isingekuwepo kabisa bila ya huyo unayemwona hafai. Fanya utafiti, fika ofisi yoyote ya TTCL mtafute mtu mzima yeyote akueleze ilipotoka na ilipo sasa. Usisahau kuuliza Professa Mark James Mwandosya alipokuwa Waziri wa Mawasiliano aliifanyaje TTCL. Uliza Celtel/Zain/Airtel imezaliwaje? Uliza Mali za mabilioni za TTCL ziko wapi, nani amezipeleka huko ziliko??...uliza...uliza....uliza...kisha njoo hapa utoe kosa la Kazaura Kamugisha.
Amefanya aliyoweza kufanya, ameifikisha kampuni hapo ilipo, tusimbeze, tumtakie heri. Naamini atapangiwa kazi kubwa zaidi ya hii aliyoifanya..
Kabwela,
Uwezo wake umefikia hapo, atapewa kazi nyingine, tatizo liko wapi?
 
Mkuu jaribu kupiti maoni ya Bwana WAZIWAZI ambaye anaonekana ni mfanyakazi wa TTCL, sina shaka utapata jibu kamili kilichokuwa kinaedelea mpaka sasa kwenye Shirika lenyewe - I mean technical-wise, mark you hapa atuzungumzii kuhusu maslahi ya wafanya kazi - sasa swali: Je, nani alikuwa msimamizi wa mabadiriko ya kiufundi kwenye Shirika lenyewe na je, Serikali ilitumia muda gani kumalizana na Wahindi wa kampuni ya Bharati na kuachia TTCL akafanya kazi ikiwa na uhuru kamili.

Je Serikali za JMT na ya Zanzibar na mashirika yao yote ya UMMA yameilipa TTCL malimbikizo ya madeni wanayo daiwa na TTCL au la?

Tukiachana na masuala ya madai ya kimaslai kwa wafanya kazi tukajikita kwenye masuala ya kuifundi kwenye nyanja za mawasiliano - hapo kuna element ya legacy ya kumkumbuka Kazaura, suala hilo ni obvious kabisa.

Kitu kingine wewe unaonekana una kitu fulani dhidi kundi fulani kwenye society ulisemi moja kwa moja ila
unajitahidi sana kutumia a diplomatic language ku mask inbuilt pre-concieved ideas zako: mwanzo ulitumbukiza suala la ukabila, nilipo kubana ukajifanya unatania - hiyo si kweli it was a delibarate move, ukati tamaa safari hii umekuja na mpya eti najaribu kumpamba pamba Dk.Kazaura!! Ntampambaje mtu mwenye shahada ya PhD katika masuala ya mawasiliano - kwani Shirika la TTCL linajishughulisha na nyanja zipi - maajabu haya yapo Tanzania tu, ndiyo maana hatuendelei, mambo haya ya kutotafakari mambo kwa kina kidogo tumpoteze Prof.Muhongo angejiondokea zake, wapambe walimkalia kooni JK wa watu wakimshauri amtimue kazi Prof. watu ili wamkomoe, awajali kama yeye ni asset wa Taifa au la, hekima ya kuwajali wana sayansi na Engineers inakosekana sana katika Taifa letu, tunacho sahau ni kwamba Taifa kama Marekani linazidi kukata mbuga kisayansi na kiteknolojia kutokana na tafiti za wanafunzi kutoka nje wanao kwenda kule on student visa!! Sisi hapa tunawapiga dana dana na kutumbikiza siasa au kujuana tuna puuzia kabisa masuala ya kiufundi - tunashangaza sana.
Bukyanagandi, nimekuelewa lakini hujanishawishi hasa kwa kujaribu kuonyesha kuwa TTCL ni ufundi pekee- yeye ni fundi je suala la masoko analifanyaje, ambako kwa maoni yangu ndiko TTCL imeshindwa kabisa bado wako kwenye enzi zile za kale. TTCL wanazidiwa hata na polisi ambao wamepiga hatua moja mble kwa kuwaita wote wanaofika mbele yao kuwa ni wateja hata kama ni majambazi sugu. Uhandisi siyo WHOLENESS
 
Kuteuliwa Pastor tena ana kanisa lake kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa na mkashangilia na kumtolea excuses za kila namna sembuse huyu dogo?
 
Unataka kutuambia pale hakuna wataalam kabisa. Shirika linatakiwa liendeshwe sasa kibiashara. Kazi ya utaalam wapo wataalam wengi pale. huyu bwana naona amebobea kwenye biashara na ataweza nadhani
Haya mambo ya kudhani mkuu sijui kama bado yana tija! CEO hujui hata ABC za mawasiliano utatoka vipi mkuu?
 
Back
Top Bottom