Manyallaboy
Senior Member
- Jul 26, 2015
- 194
- 78
Inaweza kuwa utani tu
Lugumi alikuwa "Shoe shiner" mpaka leo mnamwita hivyo, Simbachawene alikuwa Kondakta wa Mabasi, na yeye bado kwenye jimbo lake la Kibakwe wanamwita Kondakta? Kazi ya zamani ya Mzee Salim Bakhressa unaijua?Nadhani alikuwa anamlenga DJ Mbowe
Kwani Lugumi ni mwajiriwa wa serikali?Lugumi alikuwa "Shoe shiner" mpaka leo mnamwita hivyo, Simbachawene alikuwa Kondakta wa Mabasi, na yeye bado kwenye jimbo lake la Kibakwe wanamwita Kondakta? Kazi ya zamani ya Mzee Salim Bakhressa unaijua?
Alikuwa BOT akaondoka kwenda kusoma(kazi maalum) akarudi BOT- mkurugenzi kitengo cha maafa, akaenda tume ya uchaguzi kuwa mkurugenzi kitengo cha tehama, baadae kakaimu ukurugenzi NIDA. Leo mkurugenzi mkuu wa kitengo. Hongera kwa kazi zilizotukuka. Mliofanya nae kazi mnaweza kutushuhudia.Hongera sana kwa mteuliwa
Kumbe bado anajipangaAnajipanga kwa serikali yenye ufanisi
Lugumi alikuwa "Shoe shiner" mpaka leo mnamwita hivyo, Simbachawene alikuwa Kondakta wa Mabasi, na yeye bado kwenye jimbo lake la Kibakwe wanamwita Kondakta? Kazi ya zamani ya Mzee Salim Bakhressa unaijua?
Kama sikosei yule ni Ramadhani Kailima alieteuliwa kuwa mkurugenzi wa uchaguziOk ok! huyu jamaa ni miongoni mwa walioteuliwa pale NEC at the Eleventh hour, last year..Possibly to manipulate (fix) things right!
Hongera mteuliwa,
Bado anajipanga?Anajipanga kwa serikali yenye ufanisi
jamaa ana PhD ya computer scienceOk ok! huyu jamaa ni miongoni mwa walioteuliwa pale NEC at the Eleventh hour, last year..Possibly to manipulate (fix) things right!
Hongera mteuliwa,
outsiderHuyu mzee Kipilimba ni muadilifu nadhani na mtu mmoja mkimya sana na wa ibada,anastahili kabisa kwa nafasi nyeti kama hiyo.Go Dr.
Ni watu wawili tofauti yule Kailima bado yuko NECKama sikosei yule ni Ramadhani Kailima alieteuliwa kuwa mkurugenzi wa uchaguzi
No thank you! Walioteuliwa mwezi August/september,just a month prior to general election, this folk was amongst! Alipewa u-director TEHAMA pale NEC wakati wa uchaguzi, mwaka jana, alitokea BoT!Kama sikosei yule ni Ramadhani Kailima alieteuliwa kuwa mkurugenzi wa uchaguzi
Ahahaha umemjibu vizuri sanasubiri serikali yenu ya ukawa utauliza hayo maswali kenge wewe. Mmejaa unafiki tu
Pigania haki yako kwani huna sifa? kwa sasa mpaka uchan=guliwe lazima uwe unatokea parokia fulaniNa sisi tusioamini katika dink zilizoletwa na najahazi tuanze kulalamika!