FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,638
- 4,210
Haya
Hongera sana tena Sana DK KIPILIMBA Mzalendo,mpenda nchi na Mpigania nchi .Hongera sana .Unastahili kushika hiyo nafasi.
UKUTA kazi wanayo
Aiseee!!!Kipilimba Mungu anakuona, unajinasibu kama mchungaji wakati unatesa watu
Madafu walimchezea mchezo mchafuWatu wakawa wanasema GM atateuliwa kuwa Mkurugenzi, wengine wakataja fulani na fulani.
Madafu walimchezea mchezo mchafu
Alilia sana bwana yule..
Ndio huyohuyo...
U dG mtamu
DahU dG mtamu
Alikuwa njema. Hata watendaji wengi walikuwa wanakubali utendaji kazi wake. The rest ni matokeo mengine tu katika kazi.Dah
Ile jamaa kukaimu tu nikajua lazima alikuwa senior kuliko seniors wote wa TISS
Lakii hamna namna hayo ndio maisha
Halafu nilimsikiliza siku moja nikajua tu jamaa ni kichwa kweli pale TISS hawakukosea kumpandisha vyeo vya huko
Ingawa Diwani nae ana kichwa kizuri tu
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi. Yale ya akina Ulimboka yalikuwa awamu iliyopitaKila awamu ilikuwa na matukio yake, siyo awamu hii tu.
Fanya utafiti utabaini hilo