Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Ni mssukuma ndio maana ameanzisha special assassin squad kwa ruhusa ya mukulu operator akiwa Bashite he is too naked huyu atauwa kuliko Idd Amin alivyouwa raise your voice people utawala huu ni utawala wa kishirikina hauna manufaa kabis kwenye nchi hii wameshindwa kutawala sasa wanataka tukae kimya kama hatutakaa kimya
Kwanza nina uhakika sio msukuma na nazidhi shuhudia kuwa JF ina wazushi mno! Pili comment yako haieleweki!
 
Mkurugenzi wa kwanza wa Usalama Taifa ni Marehemu Mzee Gama kutoka Songea, sikumbuki mtiririko wake ila walifuata pia kina Hans Kitine, Imrani Kombe mchaga, kuna huyu Mnyakyusa amestaafu wakati wa JK nimemsahau jina (Apson Mwang'onda)then akaja Mzanzibar Othman Rashid ndio akaingia bwana huyu.
Kuna Marehemu mzee Mzena kwake ni Galu street Ada Estate ilipo Bar ya Mamas na pia pale Kijitonyama mle ndani kuna Hospital wameipa jina lake

Gama alifuata baada ya huyu Mzee
 
Huyu ndie usalama wa kwanza tangu uhuru anayejali tumbo lake na watawala hana manufaa kwa nchi bali kw Magufuli na Bashite ajiangalie tuu vyombo vingine vya usalama vikashaona analeta upuuzi atapata majibu yake maana Polisi wameshaanza kumkana maana operation zake anazofanya na bashite zimekuwa peupee pee he has to go kuliko kutuingiza kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe
Usimwonee! Ungekuwa kwenye viatu vyake huenda ungeshavuruga sana! Mazingira anayofanyia kazi ni magumu kuliko watangulizi wake wote! Anafanya kazi enzi za "sipangiwi"! Naamini bila hekima yake huenda hali ingekuwa mbaya sana! Nina IMANI sana na huyu MKUU wa usalama na ni moja ya teuzi makini sana zilizofanyika awamu hii!! Anahitaji maombi yetu sana! Ana kazi ngumu sana!
 
ndio ni msukuma kwani hujui
Mwongo! Siyo msukuma! Acheni uzushi! Mambo mengine siyo ya kufanyia mzaha kwa sababu unaweza kupandikiza hisia hasi! Tukosoe panapopaswa! Tukikosoa pasipopaswa, ukosoaji wetu mahali panapopaswa utakosa nguvu!
 
Mmmh haya mashirika nyeti ya umma yana watu wa tiss wengi, kumbe huyu mzee alikuwa tiss, wapiga dili wamekwisha
Kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa TISS kwani ndio kuna manisha alikuwa TISS! Kwanza Magufuli kwenye kuteua huwa aangalii mambo hayo eti ulikuwa ndani ya TISS
 
Idara yenyewe limekuwa genge la wahuni tu. Kazi ni kutumika na akina Bashite kuvamia watu na kuwaumiza tu. Hawa hawa ndo wamemnyooshea bastola Nape. Idara hii imepoteza 'credibility' yake, haina hadhi tunaoifahamu.
Siamini kama wavamizi wa clouds walipokea amri toka kwa wakuu wa idara yao! Bali nadhani walipokea amri toka kwa Bashite maana wamepangwa kwake tayari! Yalikuwa ni makosa!
 
Kwanza nina uhakika sio msukuma na nazidhi shuhudia kuwa JF ina wazushi mno! Pili comment yako haieleweki!
narudia kusema ni msukuma na ana squad ya watesaji na wauaji ajue vyombo vingine vya usalama vinmchora
 
Mwongo! Siyo msukuma! Acheni uzushi! Mambo mengine siyo ya kufanyia mzaha kwa sababu unaweza kupandikiza hisia hasi! Tukosoe panapopaswa! Tukikosoa pasipopaswa, ukosoaji wetu mahali panapopaswa utakosa nguvu!
unabisha nini sasa kwamba mchungaji sio msukuma na anaendesha operations za kutesa wananchi
 
Lumumba wana vituko eti alipewa kazi maalumu kwenye tume ya uchagauzi ,sasa unajiuliza kufanikisha wizi wa kura nayo ni kazi maalumu?
 
Ingekuwa PHD na Udokta ndio unafanys kazi wamu hii ya 5 uchumi ungepaa,badala yake ndio uchumi unadidimia vibaya mno sijui hawa Ma DR na Phd holders wanafanya kazi gani???
 
Back
Top Bottom