Ha ha msukuma unahofu nini mbona magufuli anaonge kisukuma akiwa shinyanga geita simiyu na mwanza si ni mkabila ndio maana kachaguwa wasukuma wenzake kuongoza chombo kama hichoNi mluguru! Punguza povu!
Hata hivyo si vizuri tukaaanza kuulizana makabila!