herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,129
- 4,712
Kinyume chake kabisa....rais ndiye anayepata sifa kuongea na Diamond...hata siku akiongea na Samatta yeye ndio anapata sifa kuongea na Samatta.Pamoja na Rais kuwapenda watu wake wote anaowaongoza lakini pia anao marafiki. Na 1wapo wa marafiki zake ni Diamond. So kumpigia simu na kumpa plomo siyo mbaya. Kumbuka aliyepata sifa hapo ni Diamond kuongea na Rais na siyo Rais kuongea na Diamond.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano, Diamond hahitaji kuongea na rais ili umaarufu wake upande ila Rais anahitaji kuongea na Diamond ili umaarufu wake upande....